MashaAllah Aleyki,,,Tnks Madame Ukhuty[emoji5] [emoji5]Karibia nitakupikia kila unachotak kwa mapish tu hapa mwisho
HahahaasaPaprika... Pap whaat??? (in teacher Mpamire's voice) unachungulia tu
Ungesema [emoji117] vyama vingi[emoji118] ningekuelewa badala ya ndondo[emoji38] [emoji38]
Na ww chukua likeUsiache ,,chukua hiyo like
HahahahaNaona watu wakiunguza mboga
Twakuona,,usikonde wala usinenepe[emoji41]Jamani na Mimi muwe munaniona
TuifaidiHaijirudii tena hii chance
Mi natanguliaTangulia nakuja
Kwa kweliTwakuona,,usikonde wala usinenepe[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona tangu mchana hujala...umeshinda na kuamka humu mpaka sasa...haya.
Hi.....wasiotikia usiwape like[emoji23] [emoji23]