naona umezifungia kazi
Umeguna vizuri.. ebu guna tenaMmmm
Nipo hapa mwanangu[emoji12]Alafu Unakuta Baba yangu nayeye yumo humu anacheza michezo Ya kitoto [emoji23][emoji23][emoji23]
Atie Likes nimtie likes Ubaba mwisho Nyumbani jf kila mtu mkuu
Hii inaitwa jaza ujazwe likesTia utiwe likes[emoji119][emoji119]
Baba Nimekutia Nyingii Bado tu Unataka ??Nipo hapa mwanangu[emoji12]
ukipata nyingi unipunguzie[emoji23] [emoji23] [emoji23]