Sikupi like.. Ha ha haccm oyeee!
Hasa wa beryllium ndo muhimu zaidiNatafuta mtambo wa kuchenjua makinikia.
MmmmmUmeguna vizuri.. ebu guna tena
Hahahahaa!Sikupi like.. Ha ha ha
kwahiyo jaza ujazweKitakachouua huu uzi ni style za baadhi ya watu humu wanapokea tu, ila wao hawatoi.
Ukijazwa like jaza like.
Dada hata haulike ebu nipe mojaHahah mshind mie
Usijalukipata nyingi unipunguzie
Unaonekana unakipaji cha kubuni ujinga!Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa hata ukicomment herufi moja tu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau
hehe nimeirudisha piaChukua hiyo bila hiyana!
Umenifanya nicheke kwa nguvu[emoji23] [emoji23]Alafu Unakuta Baba yangu nayeye yumo humu anacheza michezo Ya kitoto [emoji23][emoji23][emoji23]
Atie Likes nimtie likes Ubaba mwisho Nyumbani jf kila mtu mkuu
haha kwa kweliUpungufu wa like ni kama upungufu wa damu tuendelee kuongezeana
Hahaaa.waganga wa style wanafaa sn.Mtoa mada uzi alienda kwa mganga kuomba dawa ya biashara sasa akaambiwa nenda jamii forum kaanzishe uzi wa kijinga jinga tu halaf utaona watakvyochangia na kwel bhanaaa duh watu wanatiririka tu,,haya nipen like zangu
NimekupaDada hata haulike ebu nipe moja