Kamwe usinunue mali inayoshuka thamani kwa mkopo, mali ambazo zinashuka thamani ni pamoja na gari ama kompyuta na mali zingine za hivyo.
Hapa ni maalum hasa kwa wale wenye biashara ndogo kwasababu mzunguko wa fedha (Financial Cashflow) unakuwa bado mdogo kulipa deni na riba yake, hiyo wanaweza biashara kubwa.