Wanaanzisha biashara, acha waanzishe. Wanapata kazi, acha wapate. Wanavaa suti nzuri, acha wavae. Wanajenga nyumba,Wanaoa , waache waoe, Wanakunywa pombe, acha wanywe. Wapigie makofi, wapongeze, na subiri wakati wako. Ni wakati wao, malengo yao, na ni uwezo wao.