Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Jitahidi kushukuru pindi unapopata fursa ya kuiyona siku mpya acha ujeurii ukiamka shukuru Anza na sala Utabarikiwa Kila hatua zako...
 
Kuamka na uzima wa Afya ni jambo na kushukuru sana maana baadhi wapo mahospitalini na sisi wengine tumepewa neema ya uzima ili tuweze kwenda kutafuta riziki zetu za Kila siku jitahidi utunze Afya na neema anazo kuruzuku
 
Kuamka na uzima wa Afya ni jambo na kushukuru sana maana baadhi wapo mahospitalini na sisi wengine tumepewa neema ya uzima ili tuweze kwenda kutafuta riziki zetu za Kila siku jitahidi utunze Afya na neema anazo kuruzuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…