myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
✔️✔️✔️Maisha Ni mapambano na Dunia Ni uwanja wa vita, Pambana Hadi tone la mwisho la Damu hakuna kukata tamaa.
NB: Unapo pambana na hali yako angalia usipite kwenye mstari wa mtu mwingine
👍👍Sio kila anaesema samahani baada ya kukukosea basi amedhamiria kutoka moyoni wengi hufanya hivyo ili kukupunguzia hasira au kuepusha shari kwa wakati huo na ukitaka kujua hakuomba msamaha kutoka moyoni, basi utaona anarudia kosa lile lile tena na tena .
SafiiiiiMsifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru. Na amani ya Mungu, ambayo inapita ufahamu wote, italinda mioyo yenu na nia zenu kwa Kristo Yesu."(Wafilipi 4:6-7)
📌📌📌Ni kweli wahenga walisema usimdharau usiye mjua, hii haimaanishi umdharau unaye mjua.
NB: waheshimu watu wote, wapende, waheshimu bila kujali tofauti yoyote, huwezi jua Ni Nani atakusaidia vp na wapi
✔️✔️✔️Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru. Na amani ya Mungu, ambayo inapita ufahamu wote, italinda mioyo yenu na nia zenu kwa Kristo Yesu."(Wafilipi 4:6-7)
👍👍Ni kweli wahenga walisema usimdharau usiye mjua, hii haimaanishi umdharau unaye mjua.
NB: waheshimu watu wote, wapende, waheshimu bila kujali tofauti yoyote, huwezi jua Ni Nani atakusaidia vp na wapi
SawaAkili yako ina nguvu kuliko unavyodhani.Jaza akili yako maneno yenye fikra chanya na utaona mafanikio
Akili yako ina nguvu kuliko unavyodhani.Jaza akili yako maneno yenye fikra chanya na utaona mafanikio
📌📌Iko wazi kwamba maisha ya nyakati hizi Ni mafupi sana, na pia tunasafiri, na Safari yetu ni ya kiimani zaidi.Katika Safari yako fupi ya maisha pamoja na magumu yote usisahau ibada nyakati zote
Vitu usivyo vijua ni vingi kuliko unavyo vijuaNb: uwe tayari kujifunza kila siku
✔️✔️✔️Iko wazi kwamba maisha ya nyakati hizi Ni mafupi sana, na pia tunasafiri, na Safari yetu ni ya kiimani zaidi.Katika Safari yako fupi ya maisha pamoja na magumu yote usisahau ibada nyakati zote
Vitu usivyo vijua ni vingi kuliko unavyo vijuaNb: uwe tayari kujifunza kila siku
📌📌Umaskini wa fikra humpelekea mtu kuwa maskini wa mali,Kwa sababu kitu ukikifikiria unauwezo wakukileta katika mazingira halisi, and vice versa is true
✔️✔️Umaskini wa fikra humpelekea mtu kuwa maskini wa mali,Kwa sababu kitu ukikifikiria unauwezo wakukileta katika mazingira halisi, and vice versa is true
SawaHuwezi kupata furaha ya kweli ikiwa unawatendea watu wengine vibaya
Vitu usivyo vijua ni vingi kuliko unavyo vijuaNb: uwe tayari kujifunza kila siku
✅️✅️Si Wote Waliokaribu Na Wewe Ni Marafiki Wa Dhati Hapana Wengine Upendo Wao Kwako Ni Sababu Ya Pesa , Cheo na Wengine Wapo Tu kuchukua Taarifa zako Kupeleka Vijiweni Kwenda Kukusimanga Kuwa Makini Sana na WATU
MARAFIK WA DHATISi Wote Waliokaribu Na Wewe Ni Marafiki Wa Dhati Hapana Wengine Upendo Wao Kwako Ni Sababu Ya Pesa , Cheo na Wengine Wapo Tu kuchukua Taarifa zako Kupeleka Vijiweni Kwenda Kukusimanga Kuwa Makini Sana na WATU
👍👍Si Wote Waliokaribu Na Wewe Ni Marafiki Wa Dhati Hapana Wengine Upendo Wao Kwako Ni Sababu Ya Pesa , Cheo na Wengine Wapo Tu kuchukua Taarifa zako Kupeleka Vijiweni Kwenda Kukusimanga Kuwa Makini Sana na WATU
📌📌📌Maisha Ni mapambano na dunia Ni uwanja wa Vita, pambana mpaka tone la mwisho la Damu, kupata mafanikio sio Lele mama Ni Lele Baba