Katika maisha yaliyojaa mafumbo na mitihani mingi , Mungu alimjaalia kila mja na talanta yake , ndio maana wengine walikua hodari kufaulu mitihani ya darasani na wengine wakawa hodari kufaulu mitihani ya maisha , hivyo usichoke kujitafuta ili ujue utaalaamu wako uko eneo gani