Maisha ni hatua, kila mtu ana zake, usitamani na kuchukia hatua za mwenzako, pambana na hatua zako, kuna hatua ndefu na fupi, hatua zako ukizipambania zitakuwa ndefu, unaemuona leo Kapiga hatua ndefu alizipambania, usimchukie jifunze na kumdadisi aliwezaje kuwa na hatua ndefu