Katika Maisha Mwenyezi Mungu ndiye Suluhisho la Kila Kitu, Watu Wengi tunamsahahau Pindi tukiwa Katika Raha na furaha, Humkumbuka Wakati Wa Shida, Bila hiyana hajawai Mtupa Mtu, Tuendelee Kumuabudu Mwenyezi Mungu, Wangapi Wanakumbuka Alivyowatendea Kipindi Cha Shida.