Katika maisha kila mtu ana ndoto zake , lakini tofauti iliyokuwepo ni kwamba wengine wanazifanyia kazi ndoto zao na kufanikiwa na wengine wanaota tu pasipo Kuchukua hatua , tusiwe watu wa kuziacha ndoto zetu zikiteketea, tuzifanyie kazi kwa mafanikio yetu