Kamwe USIRUHUSU maoni ya watu wengine yaongoze MATENDO YAKO katika MAISHA. Watu kusema ni kawaida yao na haijalishi kuwa wewe ni mwema, una huruma kiasi gani, mpole sana, mwaminifu sana, na unajishusha chini kiasi gani.
Elewa kuwa WATU wakitaka kusema WATAKUSEMA TU!