Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kisasi ni cha MunguMaisha ya mtu huharibiwa na mtu punguza visasi, ili usije ukaja omba msamaha kwa MAITI
FunzoUtamu wa nanasi ghafla huwa mchungu mara tuu baada ya maji kuwekwa kinywani,,,,,,
kosa moja lisiharibu mfumo mzma wa maisha yakoo Kukosea kwako ndiko kujifunzaa,,,
usiruhusu kosa dogo likaharibu malengo yako..