moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Huwezi kuziona chuki zao ukiwa unapatia kila saa, ni lazima ukosee ili uweze kutambua ni njia gani watatumia kukuelekeza.
SAWAUsi Ombe Msamaha Mara Nyingi Ukadhani Ndio Hekima, Badili Tabia Tu Ulio Wakosea Wata Elewa Ni Kiasi Gani Ulimaanisha Kuomba Msamaha
β οΈβ οΈUsi Ombe Msamaha Mara Nyingi Ukadhani Ndio Hekima, Badili Tabia Tu Ulio Wakosea Wata Elewa Ni Kiasi Gani Ulimaanisha Kuomba Msamaha
β οΈβ οΈβ οΈUsi Ombe Msamaha Mara Nyingi Ukadhani Ndio Hekima, Badili Tabia Tu Ulio Wakosea Wata Elewa Ni Kiasi Gani Ulimaanisha Kuomba Msamaha.
βοΈβοΈUkomavu umenifundisha kwamba si lazima niseme kila kitu. Wakati mwingine, ni bora kutazama tu jinsi watu wanavyofanya na kuweka mipaka yako kutokea hapo.
ππHuwezi kuziona chuki zao ukiwa unapatia kila saa, ni lazima ukosee ili uweze kutambua ni njia gani watatumia kukuelekeza.
ππUkomavu umenifundisha kwamba si lazima niseme kila kitu. Wakati mwingine, ni bora kutazama tu jinsi watu wanavyofanya na kuweka mipaka yako kutokea hapo.
AiseeHuwezi kuziona chuki zao ukiwa unapatia kila saa, ni lazima ukosee ili uweze kutambua ni njia gani watatumia kukuelekeza.
Usipoteze muda wako kwenye kujadili maisha ya wengine. Duniani kuna mambo mengi ya msingi, muda wa kuishi na kuyafanya ni mchache. Thamini muda/nafasi uliyopata
SawaKwenye Haya Maisha Jitahidi Sana Kuwa Na Stara Ya Maneno Yako Pamoja Na Mipaka Ya Usiri Wa Mafanikio Yako, Sio Kila Unaecheka Nae Ni Mwema, Sikuizi Imekuwa Ngumu Sana Kuwamtambua Wema Kwetu.
SawasawaKwenye Haya Maisha Jitahidi Sana Kuwa Na Stara Ya Maneno Yako Pamoja Na Mipaka Ya Usiri Wa Mafanikio Yako, Sio Kila Unaecheka Nae Ni Mwema, Sikuizi Imekuwa Ngumu Sana Kuwamtambua Wema Kwetu.