Haya nshakupaMimi mbona hamjanipa?
Dah! Jamani!Nami nimekupa, ok, stop!
Akuu kama unataka like njoo kapuku bana huku like zao hazifiki tano..
Mshindi hatakuwa acacia au barick au hata jpmNa mshindii ni...........
Ila wewe si ndo Jakii ninayemuhitaji au nimngoje mwingineni jirani yangu mkuu