Hii kodi ni ya TRA au?37500 [emoji4] kibamba huku
Chumba choo
hiki kipo wap35,000 Chumba Choo
Kibambahiki kipo wap
[emoji1][emoji1][emoji1]Dar..kachumba nilikohama recently ilikuwa haiwezekani mkae watu watatu ndani[emoji1787][emoji1787]
We walala wapi?Hii thread lazima itachekesha tu..ngoja tuone!!
Chumba cha 30k cha giza! Soon nahamia chenye umeme!
Duuh, ndio hapo Tandale kwa Tumbo?Daaah watu kumbe ndio mnalipa kodi kubwa hivi[emoji849][emoji849][emoji849] mimi kupanga kwangu kote kodi haijawahi kuzidi elfu 55
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]km mimiChumba cha 30k cha giza! Soon nahamia chenye umeme!
Eeh ndioDuuh, ndio hapo Tandale kwa Tumbo?
Acha zako basi![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]km mimi
unaraha sanaKibamba