Uzi Maalum wa Kutakiana heri siku ya kuzaliwa

Uzi Maalum wa Kutakiana heri siku ya kuzaliwa

kabiriga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
1,109
Reaction score
1,171
Wana memba nimeona ni vema na haki kutakiana heri ya siku ya kuzaliwa kwa wapendwa wetu hasa wale wote wanaopitia na kufatilia JF. Pia kwa wale member wa JF tunaweza kuweka tarehe za siku ya kuzaliwa tukatakia heri wenyewe kwa wenyewe.


Mimi leo naanza na mwanangu rafiki yangu GEORGe Kikumbo a.k.a MWAMBA happy birthday to you umetimiza miaka kadhaa. Mwenyezi Mungu akuongezee Miaka mingi duniani uonane na vitukuu vyako.
 
Nilijua niwa kutakiana kheri wanaJF kumbe hata bibi yangu mzaa babu naweza mtakia kwenye huu uzi!!!
 
Back
Top Bottom