Uzi maalum wa kutakiana heri ya mwaka mpya.

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Binafsi nime enjoy sana kuwa pamoja na wanajf wote. Naomba radhi kwa wachache tuliopishana kiswahili na nawatakia heri na fanaka katika mwaka 2018,bila kujali itikadi zenu,kiuchumi,kisiasa,kidini,kiutamaduni Wala jinsia. Mungu awe pamoja nanyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…