Uzi maalum wa kuziombea timu za Tanzania Simba na Yanga, zote zifuzu hatua ya makundi CAF

Uzi maalum wa kuziombea timu za Tanzania Simba na Yanga, zote zifuzu hatua ya makundi CAF

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Hivi kwanin Tanzania kisoka hatuna ushirikiano? Tutambue kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Umoja wetu Watanzania ndiyo uliyotuwezesha kumshinda Idd Amin Dada mwaka 1978/1979. Nawaomba wapenzi wa soka la Tanzania wote tuungane katika maombi na kupeana mbinu mbalimbali ili timu zote zifuzu hatua ya makundi.

Tuache ushabiki hautatusaidia, hii ni vita kama vita vingne, tutangulize Utaifa kwanza. Wachungaji, Mapadre hata Mashehe karibuni mtoe maombi yenu. Pia hata wataalam toeni ushauri kwa timu zote mbili, kwamba inatakiwa zifanye nini ili zishinde mechi za leo.

Timu zote mbili zikiingia makundi, Tanzania itaheshmika mno kimichezo.

NB: Utopolo tumsamehe kwa makosa ambayo huwa anayafanya, ya kuwapokea maadui na kuwafundisha mbinu pale wanapokuwa wanakuja Tanzania kucheza na Simba.

Karibuni kwa dua, sala na ushauri pia.
 
Mleta uzi acha kuichanganya SIMBA SC na vitu vya ajabu ajabu. Kila mtu abebe msalaba Wake. Azam na Yanga wafungwe na waondolewe kabisa waende shirikisho kelele zipungue Mjini. Kwa kifupi Ee Mungu baba hao Utopolo huko SUDAN wapigwe magoli mchomoko kama ngoma
 
Mleta uzi acha kuichanganya SIMBA SC na vitu vya ajabu ajabu. Kila mtu abebe msalaba Wake. Azam na Yanga wafungwe na waondolewe kabisa waende shirikisho kelele zipungue Mjini. Kwa kifupi Ee Mungu baba hao Utopolo huko SUDAN wapigwe magoli mchomoko kama ngoma
Kuwa mzalendo mkuu
 
Mleta uzi acha kuichanganya SIMBA SC na vitu vya ajabu ajabu. Kila mtu abebe msalaba Wake. Azam na Yanga wafungwe na waondolewe kabisa waende shirikisho kelele zipungue Mjini. Kwa kifupi Ee Mungu baba hao Utopolo huko SUDAN wapigwe magoli mchomoko kama ngoma
Sasa Simba ndio anafungishwa virago. 2-0
 
Back
Top Bottom