,.....Mwili wangu unanidanga, mwili wangu unanidanga huu mwili.
Hata niuvishe kwa mavazi,unanidanganya mwili.
Hata niulishe kwa chakula unanidanganya mwili.
Weupe ninao jivunia, unanidanganya mwili.
Acha kunidanganya, ww mwili wangu
Siku moja utaoza wewe, unanidanganya mwili.
Utaishia kua udongo, unadangaaanya!
-Roman Catholic song.