Uzi maalum wa Maisha ya ndege JOHN

Leo nimekutana na watu wawili wa kwanza namwita top manywele kanionyesha njia ya kutokea fursa kubwa ushauri wake wa kielim ntaufanyia kazi
Mtu wa pili Ni Hassan mlezi kaniambia ukitaka kufanikiwa na mambo yako yawe mepesi basi fanya kazi na Mungu Kisha mrudie kwa sala...
Msisitizo upo kwa kisa Cha we idd Mubarak...
Katika gari Nika experience kitu kizuri Sana tufanye kazi na Mungu
Time 14:40
 
Siku ya Leo ilikuwa mbaya Sana matatizo yalikuwa Mengi usalama mdogo
 
Mengine yote ni extra, ila kama huwa unahudhuria Micasa kwenye freestyle CRB tuko pamoja, japo ni miezi kadhaa sijahudhuria sababu ya kuwa mbali.
 
Time 03:19
Night na movies za kibabewahuni wote
 
Asubuhi
Kazi kazi + kujiongeza
[emoji383]
Babu makuku+muuza frem
Lakini sijui Kama Ni kosa tumefanya kutopita ile njia..anyway bado tumekosea tena ile sight
Baadae kabisa tumeendelea Kisha mikakati ilifanyika
Location:bahari ya hindi
 
Broo watu waliyoyatabiri naona yanaenda kutokea ulianza kwa kasi ila ukapunguza mpaka sasa imeisha kabisa No updates kabisa mkuu vp nn kimekusibu.
 
Broo watu waliyoyatabiri naona yanaenda kutokea ulianza kwa kasi ila ukapunguza mpaka sasa imeisha kabisa No updates kabisa mkuu vp nn kimekusibu.
Kuna mambo tunaweka sawa tunataka tuendelee na tulipoanza updates zitaendelea baada ya muda mfupi
 
Jumanne kubwa
Mimi+fundi +side simba... fundi mwenye uwezo baada ya safari mbili za sala tofauti ya urais na ugumu inaonekana..Sasa tumeshika Jambo moja tu
 
Time 05:08
Kuchukua udhu sala ya fajr
Tunataka tupite ktk njia njembamba
Kwanza usafi Ni Jambo la kwanza ... msisitizo Ni usafi baadae wa eneo la sala
 
Hahaha unanikumbusha zile intervyuu za madem wa humu, mshkaj 1 kaona yeye haitwi kuulizwa..kajiintarview mwenyewe uzi ukajaa msswali na majibu yake mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…