Uzi maalum wa Maisha ya ndege JOHN

Tunatudi Tena kwa kishindo kikuu awamu hii tumejipanga hatutautelekeza Uzi
Updates:kwa Sasa nipo nafanya biashara ya duka kwa hivo nitakuwa nikishusha Mambo hasa ya kibiashara Yan utafutaji wa pesa
 
Grocery ipo na hivo ndio vitu vya studio Hapo juu
 
Kama Una swali lolote kuhusu biashara ya duka la rejareja na grocery na candy hizi nazijua Aina nyingi mno.usisite kuniuliza
 
Lakini pia Nina ma file yamgu mengine huko betpawa
Huu mkeka bado mechi mbili tu zitoe NG NICHUKUE PESA
HAMUWEZI AMINI MUNGU mwenyewe aliniotesha huu mkeka simsingizii Ni uhakika Kuna siku niliota chagua mechi za arsenal na za man City ziwekee NG nikaweka stake 5000..Ni pesa ya uhakika
 
Nani anataka niwe na mtag kila napoweka updates za maono ninayooteshwaga
 
Kumekucha mdogomdogo nasikiliza clouds fm huku nikikusanya pesa asubuhi mapema tu
 
Baadhi ya mafile Tata niliyonayo shop Ni pamoja na ugoro wenyewe wanaita kamchongo Dawa
Hi robo nanunua 7000 nikifunga zinatoka kete Zaid ya 35 ukiuza kwa jerojero unapata Zaid ya 17000
 
Kuna taarifa zinazagaa kuwa ndege john amechukuliwa na Corona!😄😄😄
 
Ma file mengine Tata tunaendelea kuwabania kazi
Stick nzima kwa jumla nanunua jero me nawauzia buku
Stick za 20000 zinaleta 40000
Paper zenyewe nanunua 25000 zinakuwa 100...nauza kwa 500 faida yake 25000
 
Mamlaka wakija wanakula buku teni wanaondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…