Uzi maalum wa sentesi ambazo ukisema kwa haraka hara unajikuta unatukana au kukksea

Uzi maalum wa sentesi ambazo ukisema kwa haraka hara unajikuta unatukana au kukksea

Internal

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
3,579
Reaction score
3,919
Hii in maalum sana kwa zile sentesi ambazo ukijichanganya tu unaangukia kwingine .

Mfano.

Jaribu kutamka kwa speed
[emoji312] Ndege mwekundu kala mkungu wa ndizi...... ndege mwekundu kala mkungu wa ndizi.

Karibuni
 
70ba1298c130e4baee8d5a6e7c44e935.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende na hii.

Mpishi mbishi kapika mchicha mbichi.

Kwa speed leta mrejesho.
 
Kafa manzese mazishi sinza

siko vile nilivyokuwa, haimaanishi nipo tofauti.
 
Back
Top Bottom