Uzi maalum wa tulioacha/ tulioachwa kimasihara

Uzi maalum wa tulioacha/ tulioachwa kimasihara

Mpauko

R.I.P
Joined
Jan 19, 2019
Posts
2,323
Reaction score
3,428
Wasalaam

Kuna wakati tunajikuta tukiacha ama kuachwa bila kutegemea "kimasihara" tupeane faraja hapa.

Binafsi nikiwa mwaka wa kwanza chuo, ilitokea kupendana sana na binti mmoja,maisha yalikuwa matamu kwelikweli kwani tulisaidiana sana katika hali na mali Hivyo kupunguza msoto mkali wa chuoni.

Kama ilivyo kwa mtu yeyote hutokea ana rafiki mmoja tu wa kumuamini ndivyo ilovyokuwa kwangu,nilimtambulisha mwana kwa manzi angu fresh...

Muda huu naandika yule demu siyo demu wangu tena,na yule mshkaji sio mshkaji wangu tena,saii wanaelekea mwezi wa tatu wa ndoa yao na tayari wana mtoto wa mwaka mmoja...

IMG-20190514-WA0006.jpeg
 
Mkuu umeelezea kwa ufupi sana, hebu funguka zaidi
 
Kuna siku tulizinguana, nkamwambia ka vipi tuachane. Akasema uko seeouz? Nkamjibu sjawai kuwa na utani na wahaya (maana yeye ni muhaya) basi akajibu fresh. Aisee nilimpoteza mwanamke niliyempenda bila kutegemeaa..
Kaka huwajui wanawake wa kihaya. Demu wa kihaya ukiwa nae afu akakuacha emu shukuru sana MOLLA. Mwanamke wa kihaya, wa kitutsi, wa kinyankole na wanaotoka maeneo hayo akikuacha ni kama umemaliza deni la mkopo bank. Wanawake wa kihaya SHIKAMOOO.
Daaaa, hao sio kabisa.
Hawana tofauti na wanawake wa WARANGI na WANYATURU.
 
Kaka huwajui wanawake wa kihaya. Demu wa kihaya ukiwa nae afu akakuacha emu shukuru sana MOLLA. Mwanamke wa kihaya, wa kitutsi, wa kinyankole na wanaotoka maeneo hayo akikuacha ni kama umemaliza deni la mkopo bank. Wanawake wa kihaya SHIKAMOOO.
Daaaa, hao sio kabisa.
Hawana tofauti na wanawake wa WARANGI na WANYATURU.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ya kweli haya?
 
Nakumbuka kuna dada nilimpenda sana,na yeye alitambua hill na hivyo akaanza mchezo wa kuniumiza akiamini siwezi kumuacha kwa vile nampenda na nimzuri,,basi kuna siku kaletwa na gari mpaka maeneo ya home akashuka kisha akazunguka mlango wa dereva wakaagana kwa kiss,nilishuhudia kwa macho yangu,nikamsubiri akaja nikamuuliza kuhusiana na kile kitendo,akakana kukawa na mzozo kwa takribani siku mbili mpaka nikaanza kujutia kwa nini nilimuuliza?
Lakini wanasema lenye mwanzo lina mwisho,maisha yakaendelea siku moja nikiwa nachaka K yake nikamwambia kwa utamu huu hakika siwezi kukuacha,,akajibu hata mimi najua huwezi kuniacha ila nitakuacha mimi,
Dah!! Iliniumiza na kukumbuka ujinga wake mwingi baada ya siku mbili kupita nilimwita nikamwambia kuanzia leo nakuacha ila ukiniona nisalimie nami nikusalimie,,
Akajua utani,ndio ikawa imetoka hiyooo,,baada ya kuamini kweli nimemuacha aliisha mpaka nikamuhulumia na uzuri wote Keisha,,,haamini mpaka kesho anajipa moyo iko siku nitamrudia ,wakati mm tayari nina toto la kimanyema halina kwele kabisa
 
Kuna siku tulizinguana, nkamwambia ka vipi tuachane. Akasema uko seeouz? Nkamjibu sjawai kuwa na utani na wahaya (maana yeye ni muhaya) basi akajibu fresh. Aisee nilimpoteza mwanamke niliyempenda bila kutegemeaa..
[emoji2][emoji2]
 
Nikiamua kuacha mtu.. Huwa sina muda wa kumtafta na kuanza kumtangazia kuwa nimemuacha huwa matukio anayaona.. Kwanza call 📞zake huwa sizipokei.. Pili text hajibiwi then hata salamu yangu haisahau kabisa... Hizo sign tatu lazma ajiongeze kama ana soma alama za nyakati.. Sijui huko ndio kuacha kimasihara??
 
Dah wakuu acheni tu hawa viumbe
2011/12 Mtoto wa kimachame nilimpenda sana na alijua, aisee alikuwa ananiendesha hata gari bovu lina afadhari.
Mwanamke kila mkipishana kidogo, utasikia tuachane
Nilitake risk kumfanyia sup 5, ya 6 nikamwambia ni rahisi kafanye mwenyewe.

Nakumbuka kuachana alipataga uhamisho kutoka dar kwenda k/njaro. Baada ya mwezi akaniambia amenimis niende na nauli ya ndege go and return ikatumwa. Ndo ilikuwa safari ya kuachana.

Kila la kheri huko alipo

Never be same again
 
Yeye: (Kimasikhara tyuuh) "Cocastic kuanzia leo me na wee bas usinijue nisikujue",
Me: kwa sababu gan mbna sion tatzo lolote.
Yeye: n maamuz yangu tyuuh.
Me: kabisa uko serious?
Yeye: kwan tangu lin me nna utani na wew.
Me: sawa haina shida umeeleweka.
IKAISHA HIVYOOO YAANI
 
Kaka huwajui wanawake wa kihaya. Demu wa kihaya ukiwa nae afu akakuacha emu shukuru sana MOLLA. Mwanamke wa kihaya, wa kitutsi, wa kinyankole na wanaotoka maeneo hayo akikuacha ni kama umemaliza deni la mkopo bank. Wanawake wa kihaya SHIKAMOOO.
Daaaa, hao sio kabisa.
Hawana tofauti na wanawake wa WARANGI na WANYATURU.
Kwann mkuu
 
Nakumbuka kuna dada nilimpenda sana,na yeye alitambua hill na hivyo akaanza mchezo wa kuniumiza akiamini siwezi kumuacha kwa vile nampenda na nimzuri,,basi kuna siku kaletwa na gari mpaka maeneo ya home akashuka kisha akazunguka mlango wa dereva wakaagana kwa kiss,nilishuhudia kwa macho yangu,nikamsubiri akaja nikamuuliza kuhusiana na kile kitendo,akakana kukawa na mzozo kwa takribani siku mbili mpaka nikaanza kujutia kwa nini nilimuuliza?
Lakini wanasema lenye mwanzo lina mwisho,maisha yakaendelea siku moja nikiwa nachaka K yake nikamwambia kwa utamu huu hakika siwezi kukuacha,,akajibu hata mimi najua huwezi kuniacha ila nitakuacha mimi,
Dah!! Iliniumiza na kukumbuka ujinga wake mwingi baada ya siku mbili kupita nilimwita nikamwambia kuanzia leo nakuacha ila ukiniona nisalimie nami nikusalimie,,
Akajua utani,ndio ikawa imetoka hiyooo,,baada ya kuamini kweli nimemuacha aliisha mpaka nikamuhulumia na uzuri wote Keisha,,,haamini mpaka kesho anajipa moyo iko siku nitamrudia ,wakati mm tayari nina toto la kimanyema halina kwele kabisa
Hahaha
 
Back
Top Bottom