Muombe Mungu atatendaMungu saidia niingie kwenye system, nipate kazi serikali mda uko kasi sana
Dharau na Majungu imekuwa sehemu ya maisha.
Nini tena madame embu toa maufundi bacUko wapi tukaandamane 😹😹😹
Usiipuuze KATAA NDOA Mkuu, ndio kampeni pekee ya ukweli iliyobakia.Kuna hawa wanaojiita KATAA NDOA hawa ma bro wa 80s wanatuingiza sana chaka