Timu imecheza dhidi ya Azam Leo pale chamanzi complex imepoteza mchezo lakini imecheza soka la kuvutia sana, imetengeneza nafasi chache na ikashindwa kuzitumia.
Tanzania hatuna waamuzi wa mpira wa miguu, yaan yule refarii ndio amenichefua sana jana.
Sijui ilitakiwa mchezaji wa ndanda atobolewe tumbo ndipo yule mwamuzi angejua kuwa ametendewa madhambi!!!
Wapenzi,mashabiki na wanakabumbu wote... Timu yenu ya Ndanda F.C Leo inacheza dhidi ya Ruvu stars pale Nangwanda sijaona... Kila la kheri NDANDA KUCHELE