Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi.
Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu na tafsiri ya msemo/ nukuu husika.
Mungu aendelee kuwapa pumziko la Amani Waandishi waliotangulia mbele za haki.
Karibuni
Busara kubwa kichwani haina faida kama moyoni hamna chembe ya wema - Adili na Nduguze, Shaban Robert
Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi.
Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu na tafsiri ya msemo/ nukuu husika.
Mungu aendelee kuwapa pumziko la Amani Waandishi waliotangulia mbele za haki.
Karibuni
Busara kubwa kichwani haina faida kama moyoni hamna chembe ya wema - Adili na Nduguze, Shaban Robert