expedition
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 935
- 2,995
bila shaka umekwisha chukua hatua zisizojulikana.MKUU NIKO SEHEMU ISIYOJULIKANA KUNA WATU KIBAO WASIOJULIKANA WAMEKAA WAKIONGEA KISICHOJULIKANA NA WAMEKUBALIANA YASIYOJULIKANA NA SASA WANAELEKEA KUSIKOJULIKANA KUFANYA YASIYOJULIKANA KWA WAHUSIKA WASIOJULIKANA
Hakika mkuu nimeamua kuwajulisha watu wasiojulikana kujiepusha na hatari isiyojulikana ya watu hao wasiojulikana
Mkuu hii noma sana.Naiona gari isiyojulikana ikikufuata kwa nyumaWananifuatilia hapa
Wananifuatilia hapa
Watu wasiojulikana wamerusha picha ya gari lisilo julikanaWananifuatilia hapa
Nisani isiyojulikana inakufuata.Mkuu hii noma sana.Naiona gari isiyojulikana ikikufuata kwa nyuma
ka swift hakaWananifuatilia hapa