Uzi maalumu kwa ambao bado hawajaoa au kuolewa

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu,
Huu ni uzi wa wote, tupeane changamoto mbalimbali tunazopitia sisi ambao bado hatujaoa au kuolewa, au ulioa au kuolewa ukaachika. Hata wewe ambae upo kwenye ndoa ipo siku utaachika hivyo ushauri, changamoto na maoni yako ni muhimu sana.

Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
 
KUna kazi ipo kazin uku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…