Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada.
1. Majohe "KWA NGOZOMA"
Huyu ngozoma nasikia yupo mpaka leo na ana bucha lake, alikuwa mfanyabiasha na alifungua duka kubwa sana maeneo hayo ya majohe wakati panaanzishwa miaka ya 2005 hivi.
2. Kwa Azizi Ali (Anayejua atuambie )
3. Kwa mpalange (jina maarufu sana hili) Huyu mpalange ni nani ?
3. Ile hospitali ya wazeeiya kwanini iliitwa mze.... (Kwanini isingeitwa nyerere, maana ukiwa tu umekaa zako makumb..... vijana wengi sana wanajifanya ni wazeeiya) Mods naomba nilinde hapa usifute uzi wangu)
4. Pale ukonga Banana kwanini panaitwa Banana )
5. Mbagara rangi tatu ( hizi rangi tatu ni nini zilikuwa zina maanisha nini )
6. Mbeya mafiati, kwanini paliitwa mafiati wakati tunajua FIAT ni aina ya gari.
Mengine naomba mjazie.
Ahsante
Moja kwa moja kwenye mada.
1. Majohe "KWA NGOZOMA"
Huyu ngozoma nasikia yupo mpaka leo na ana bucha lake, alikuwa mfanyabiasha na alifungua duka kubwa sana maeneo hayo ya majohe wakati panaanzishwa miaka ya 2005 hivi.
2. Kwa Azizi Ali (Anayejua atuambie )
3. Kwa mpalange (jina maarufu sana hili) Huyu mpalange ni nani ?
3. Ile hospitali ya wazeeiya kwanini iliitwa mze.... (Kwanini isingeitwa nyerere, maana ukiwa tu umekaa zako makumb..... vijana wengi sana wanajifanya ni wazeeiya) Mods naomba nilinde hapa usifute uzi wangu)
4. Pale ukonga Banana kwanini panaitwa Banana )
5. Mbagara rangi tatu ( hizi rangi tatu ni nini zilikuwa zina maanisha nini )
6. Mbeya mafiati, kwanini paliitwa mafiati wakati tunajua FIAT ni aina ya gari.
Mengine naomba mjazie.
Ahsante