Uzi maalumu kwa Vituko vyako vya utotoni mpaka la STD 7!

Uzi maalumu kwa Vituko vyako vya utotoni mpaka la STD 7!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Dah Asalam,
Kwanza siku moja mimi nilianzisha ugomvi nikasahau kuwa asubuhi nilisaga pilipili nikawa nawapa kuku walikuwa na kideli
Sasa jamaa akanipiga ngumi ya jicho chozi likawa liinanilengalenga sinikajipangusa choze weeeee!!pilipili ikafanya yake nilipigwa hoi!
Nyingine kipindi kile sigara zilikuwa hadimu kulikuwa na sigara zinaitwa magwanji ndiyo kiwanda cha zanzibar kikatoa sigara inaitwa Zaraha Menthol na Zakuchuja King Size sas nilikuwa nikitumwa sigara na Baba namimi nakata nchi kama 5! Siku mja Baba akashtukia mchezo akaniagiza then baadae akamuagiza mdogo wangu alipofika home akaniita nakuniuliza sigara nilinunua wapi nikamwambia, akamuuliza mdogo wangu naye akasema akachukua sigara akalinganisha!!zangu zikaonekana fupi sana!sikuulizwa nilichezea vitasa sana ila ndo nikaendelea kuvuta!Lakini mwaka 1997 27,October nikaacha baada yakuvuta sigara kwa miaka 15 hivi!!
Visa vyangu hivyo hapo nikikumbuka nitawaongezea! Haya na wewe toa chakwako leo.
 
Mi nakumbuka nilivoweka supagluu kwenye kinyeo cha kuku

Baada ya siku mbili yule kuku alikuwa anatembea kama anacheza singeli

Ee Mungu naomba unisamehe kwa maana kisu kililazimika kutenganisha kichwa na kiwiliwili cha kuku yule kabla ziraili hajamchukua...

Kingine... kinginee

Ziwa Victoria nikiwaangalia wavuvi na mitumbwi yao. Nikaona isiwe tabu. Nikachukua beseni na mwiko wangu nikazama ziwani kupiga makasia... haikuchukua muda nikapigwa wimbi nikazamishwa majini. Namshukuru Mungu nilivunja rekodi ya mtoto aliyekunywa maji mengi kwa wakati mmoja. Rekodi hiyo iliambatana na zawadi ya bakora za kutosha kutoka kwa mwalimu wangu ambaye alitokea kuwa mama yangu mzazi...

Nawashukuru wale wavuvi huenda muda huu ningekuwa na Kanumba tunarekodi bongo movie chini ya director Bob Marley

Ee Mungu saidia watu hawa wasiione hii post:
Daby Bonny

Sakayo Numbisa Curious gal geniveros Shunie espy Sky Eclat
 
Mm nlikuwa najua sehem mzee anawekaga hela sasa nikawa nachomoa nachukua watt wenzangu wa mtaani tunaenda sehem tunakula maandazi na soda za vimto...mzee siku akashtukia hela yake inaibiwa akaniwekea kwacha ya zambia kama kawaida mzee nkazama kwny chimbo nkachukua mzigo bila kuangalia nimeenda kula maandazi natoa hela naambiwa sio ta bongo yule maza wa maandazi akanishika mkono mpk home...nlikula kichapo na nikalala kwny banda la kuku
 
Mi nakumbuka nilivoweka supagluu kwenye kinyeo cha kuku

Baada ya siku mbili yule kuku alikuwa anatembea kama anacheza singeli

Ee Mungu naomba unisamehe kwa maana kisu kililazimika kutenganisha kichwa na kiwiliwili cha kuku yule kabla ziraili hajamchukua...

Kingine... kinginee

Ziwa Victoria nikiwaangalia wavuvi na mitumbwi yao. Nikaona isiwe tabu. Nikachukua beseni na mwiko wangu nikazama ziwani kupiga makasia... haikuchukua muda nikapigwa wimbi nikazamishwa majini. Namshukuru Mungu nilivunja rekodi ya mtoto aliyekunywa maji mengi kwa wakati mmoja. Rekodi hiyo iliambatana na zawadi ya bakora za kutosha kutoka kwa mwalimu wangu ambaye alitokea kuwa mama yangu mzazi...

Nawashukuru wale wavuvi huenda muda huu ningekuwa na Kanumba tunarekodi bongo movie chini ya director Bob Marley

Ee Mungu saidia watu hawa wasiione hii post:
Daby Bonny

Sakayo Numbisa Curious gal geniveros Shunie espy Sky Eclat
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28]

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
Kwenye sigara tulikuwa tunavuta zile nyuzi nyuzi za mahindi kwenye shamba la shule...
Tulikuwa tunaingia katikati ya shamba na kuchukua magazeti kisha tunanyofoa nyuzi za mahindi zilizokauka tunasokotea kwenye magazeti na kuvuta...!

Siku nyingine nlitongoza mtoto wa mwl mkuu, basi akaingia line ila dili likazanukiwa na wapambe...taarifa zikaenea nikatolewa mbele ya darasa na walimu wakaanza kunifinya kwenye mapaja then ili kuniaibisha na kunikomoa wakaniamuru nivue kaptula, nikagoma! Wakaja wanataka kuitoa kwa nguvu nikatoka nduki...[emoji23][emoji23] baada ya siku mbili nikarudi shule nikanyukwa bakora nne na kisiki juu!!
 
Mi nakumbuka nilivoweka supagluu kwenye kinyeo cha kuku

Baada ya siku mbili yule kuku alikuwa anatembea kama anacheza singeli

Ee Mungu naomba unisamehe kwa maana kisu kililazimika kutenganisha kichwa na kiwiliwili cha kuku yule kabla ziraili hajamchukua...

Kingine... kinginee

Ziwa Victoria nikiwaangalia wavuvi na mitumbwi yao. Nikaona isiwe tabu. Nikachukua beseni na mwiko wangu nikazama ziwani kupiga makasia... haikuchukua muda nikapigwa wimbi nikazamishwa majini. Namshukuru Mungu nilivunja rekodi ya mtoto aliyekunywa maji mengi kwa wakati mmoja. Rekodi hiyo iliambatana na zawadi ya bakora za kutosha kutoka kwa mwalimu wangu ambaye alitokea kuwa mama yangu mzazi...

Nawashukuru wale wavuvi huenda muda huu ningekuwa na Kanumba tunarekodi bongo movie chini ya director Bob Marley

Ee Mungu saidia watu hawa wasiione hii post:
Daby Bonny

Sakayo Numbisa Curious gal geniveros Shunie espy Sky Eclat
Ulimtesa kuku msh.enz ww....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi nakumbuka nilivoweka supagluu kwenye kinyeo cha kuku

Baada ya siku mbili yule kuku alikuwa anatembea kama anacheza singeli

Ee Mungu naomba unisamehe kwa maana kisu kililazimika kutenganisha kichwa na kiwiliwili cha kuku yule kabla ziraili hajamchukua...

Kingine... kinginee

Ziwa Victoria nikiwaangalia wavuvi na mitumbwi yao. Nikaona isiwe tabu. Nikachukua beseni na mwiko wangu nikazama ziwani kupiga makasia... haikuchukua muda nikapigwa wimbi nikazamishwa majini. Namshukuru Mungu nilivunja rekodi ya mtoto aliyekunywa maji mengi kwa wakati mmoja. Rekodi hiyo iliambatana na zawadi ya bakora za kutosha kutoka kwa mwalimu wangu ambaye alitokea kuwa mama yangu mzazi...

Nawashukuru wale wavuvi huenda muda huu ningekuwa na Kanumba tunarekodi bongo movie chini ya director Bob Marley

Ee Mungu saidia watu hawa wasiione hii post:
Daby Bonny

Sakayo Numbisa Curious gal geniveros Shunie espy Sky Eclat
We kiboko
 
Kuna jamaa waliweka upupu kwenye kiti cha mwalimu. Yule ticha aliipatapata. Aliruka kama chura dada wa watu. Baada ya kuwashwa kumuisha walimu wote walihamia darasani... zilitembezwa bakora ikabidi majaa yanitaje kinyume na makubaliano.

Kwa kuwa nilikuwa naaminika kwa upole wangu walimu wakaamini ni mimi nilihusika. Aisee nilichezea bakora na adhabu haijawahi tokea Afrika Mashariki na kati.

Sijui kwanini machalii wale walinitaja wakati sikuhusika. Mi nliweka kidogo tu.
 
Kuna jamaa waliweka upupu kwenye kiti cha mwalimu. Yule ticha aliipatapata. Aliruka kama chura dada wa watu. Baada ya kuwashwa kumuisha walimu wote walihamia darasani... zilitembezwa bakora ikabidi majaa yanitaje kinyume na makubaliano.

Kwa kuwa nilikuwa naaminika kwa upole wangu walimu wakaamini ni mimi nilihusika. Aisee nilichezea bakora na adhabu haijawahi tokea Afrika Mashariki na kati.

Sijui kwanini machalii wale walinitaja wakati sikuhusika. Mi nliweka kidogo tu.
Dah! Inaelekea wewe ulikuwa mtundu mno!
 
Kuna jamaa waliweka upupu kwenye kiti cha mwalimu. Yule ticha aliipatapata. Aliruka kama chura dada wa watu. Baada ya kuwashwa kumuisha walimu wote walihamia darasani... zilitembezwa bakora ikabidi majaa yanitaje kinyume na makubaliano.

Kwa kuwa nilikuwa naaminika kwa upole wangu walimu wakaamini ni mimi nilihusika. Aisee nilichezea bakora na adhabu haijawahi tokea Afrika Mashariki na kati.

Sijui kwanini machalii wale walinitaja wakati sikuhusika. Mi nliweka kidogo tu.

So-called babu unavituko kweli
 
Kuna jamaa waliweka upupu kwenye kiti cha mwalimu. Yule ticha aliipatapata. Aliruka kama chura dada wa watu. Baada ya kuwashwa kumuisha walimu wote walihamia darasani... zilitembezwa bakora ikabidi majaa yanitaje kinyume na makubaliano.

Kwa kuwa nilikuwa naaminika kwa upole wangu walimu wakaamini ni mimi nilihusika. Aisee nilichezea bakora na adhabu haijawahi tokea Afrika Mashariki na kati.

Sijui kwanini machalii wale walinitaja wakati sikuhusika. Mi nliweka kidogo tu.
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji23] hahahha ila wee Jamaa....sikutegemea kucheka kiasi hiki leo,

Nahisi utakua na makovu mengi mwilini
 
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji23] hahahha ila wee Jamaa....sikutegemea kucheka kiasi hiki leo,

Nahisi utakua na makovu mengi mwilini
Kovu nnalo la kufinywa na bibi. Enzi hizo wageni wakija ilikuwa desturi kutengenezewa chai. Sasa nisipopewa nlikuwa na katabia ka kuingia chini ya meza nikijifanya nacheza afu naamka na meza ili chai imwagike tukose wote....

Hiyo siku nliingia cha kike. Sikujua bibi alishanistukia akawa ananilia timing. Yule mamaake baba alinifinya kwa kisu asee. Kama si babaangu ambae ni mwanae kuniokoa angefyeka korodani zangu wallah...

Kumbuka enzi hizo sukari ilikuwa adimu... tuliokuwa tunakunywa chai ni familia za watumishi wa umma wenye vyeo vya kati na vya juu

Mungu amlaze mahali pema peponi... bibi yule alininyoosha mpk nikaacha yale mambo... ndo maana hivi sasa nina hekima kama Uhuru Kenyatta.
 
Mi nakumbuka nilivoweka supagluu kwenye kinyeo cha kuku

Baada ya siku mbili yule kuku alikuwa anatembea kama anacheza singeli

Ee Mungu naomba unisamehe kwa maana kisu kililazimika kutenganisha kichwa na kiwiliwili cha kuku yule kabla ziraili hajamchukua...

Kingine... kinginee

Ziwa Victoria nikiwaangalia wavuvi na mitumbwi yao. Nikaona isiwe tabu. Nikachukua beseni na mwiko wangu nikazama ziwani kupiga makasia... haikuchukua muda nikapigwa wimbi nikazamishwa majini. Namshukuru Mungu nilivunja rekodi ya mtoto aliyekunywa maji mengi kwa wakati mmoja. Rekodi hiyo iliambatana na zawadi ya bakora za kutosha kutoka kwa mwalimu wangu ambaye alitokea kuwa mama yangu mzazi...

Nawashukuru wale wavuvi huenda muda huu ningekuwa na Kanumba tunarekodi bongo movie chini ya director Bob Marley

Ee Mungu saidia watu hawa wasiione hii post:
Daby Bonny

Sakayo Numbisa Curious gal geniveros Shunie espy Sky Eclat
Wewe mzee unazeeka vibaya [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom