Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau wa JF,
Wapo wasanii/ awnamichezo wengi waliofanikiwa duniani kupitia kazi za mikono yao. Hata hivyo wapo wachache walioamua kuishi maisha ya kumcha Mungu wakiwa bado katika kilele cha mafanikio.
Naomba nianze kuwataja wachache tu hapa chini;
1. Mohamed Ally
2. Mbwana Samata
3. Mzee Yusuph.
4. Lady Jayde
5. Lionel Messi
Karibuni kwa maoni.
Wapo wasanii/ awnamichezo wengi waliofanikiwa duniani kupitia kazi za mikono yao. Hata hivyo wapo wachache walioamua kuishi maisha ya kumcha Mungu wakiwa bado katika kilele cha mafanikio.
Naomba nianze kuwataja wachache tu hapa chini;
1. Mohamed Ally
2. Mbwana Samata
3. Mzee Yusuph.
4. Lady Jayde
5. Lionel Messi
Karibuni kwa maoni.