Ebu mumuache kijana apumue...[emoji12] [emoji12]JF nayo inafundishwa kama Forex?!
Na kwako pia nafurahi kuona u mzima...Mungu akujalie afya teleNafurahi kusikia hivyo kaka. Pia ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu kama uzima upo.
Uwe na asubuhi njema Kaka.
Amiin Kaka na kwako pia.Na kwako pia nafurahi kuona u mzima...Mungu akujalie afya tele
Asubuhi njema
Emmy anamtakia asubuhi njema Shoga kidawa Mwalimu wa Emmy, Mshauri wa Emmy, Bondia wa Emmy [emoji85] yaani we ni balaa Numbisa mama wa kujifungia kwenye kumwagiana likes. Siku zote najivunia uwepo wako aisee.
Na bila kuwasahau Makaka, Maswahiba , Mabest friends , wadogo na madada zangu wapendwa.
Muwe na asubuhi njema Allah azidi kuwasimamia kila mnapokaa mjue Emmy hawezi kuwasahau kwenye Dua zake. [emoji7]
Asubuhi njema my best friend Nikutakie asubuhi njema iliyojaaa utulivu amani na upendo Nakuombea kwa mungu akulinde na majaribu na vikwazo vyote na uianze siku yako Ukiwa na furaha teleeee
Hahahahaa ooh waaaoww sifa zote bizi zangu mpaka najiona mie tajiri bana. Shukran my dear emmy,mdada mtulivu kupita wote JF. Uwe na asubuhi njema yenye mafanikio tele.
Uwepo wako kwenye list ya numbisa ni wenye kupendeza na kustawisha busara zaidi. Be blessed emmy!
By my side you deserve rafiki. Ahsante sana my dear.
Nawe uzidi kubarikiwa kila kukicha rafiki.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Asubuhi njema my best friend Nikutakie asubuhi njema iliyojaaa utulivu amani na upendo Nakuombea kwa mungu akulinde na majaribu na vikwazo vyote na uianze siku yako Ukiwa na furaha teleeee
Cha mdeko wako Achana na kichwa kichafu wivu unamsumbuaaa
Na kwako pia. Mungu awe nawe katika kila jamboEmmy anamtakia asubuhi njema Shoga kidawa Mwalimu wa Emmy, Mshauri wa Emmy, Bondia wa Emmy [emoji85] yaani we ni balaa Numbisa mama wa kujifungia kwenye kumwagiana likes. Siku zote najivunia uwepo wako aisee.
Na bila kuwasahau Makaka, Maswahiba , Mabest friends , wadogo na madada zangu wapendwa.
Muwe na asubuhi njema Allah azidi kuwasimamia kila mnapokaa mjue Emmy hawezi kuwasahau kwenye Dua zake. [emoji7]