Uzi maalumu: Umejipangaje kustaafu, utajishughulisha na nini uzeeni ili kuingiza kipato ili usiishi kwa mateso?

Uzi maalumu: Umejipangaje kustaafu, utajishughulisha na nini uzeeni ili kuingiza kipato ili usiishi kwa mateso?

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
726
Reaction score
476
Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana akili ya namna ya kujipanga,au kujiandaa kustaafu ili uzeeni asiteseke kwa dharau na fedheha za watukila mmoja atoe wazo lake

Mf;Mimi nimenunua shamba kimanzichana heka 10 nimezungushs michongoma ,ndani nimepanda miti ya miembe, michungwa, michenza, limao, mipapai, mipera, mastafeli, mafenesi, mipassion, nimeacha eneo la kupanda migomba kwa ajili ya ndizi. Nimeacha sehemu kwa ajili ya bwawa la samaki, nimetenga sehemu ya mabanda makubwa ya kufugia kuku, nguruwe, ngombe wa maziwa, bustani ya mboga mboga, haya ni maandalizi ya kustaafu nataka niwe navuna mazao yangu napeleka sokoni mwenyewe

Nnitanunua canter ya kutolea bidhaa shambani kwenda masokoni

Nataka wanangu na wajukuu miaka ya 2040 wakisema wanakuja shamba kumtembelea babu nao wajifunze

N;B nyie mnaweza kutoa mawazo yenu tusaidiane akili sio kila siku mapenzi tu
 
Mimi napenda kusafiri...

Natumia muda wangu mwingi kuuweka mwili wangu fiti ili niendelee kusafiri mahala na mahala masafa kwa masafa...

Niliwekeza mahali ambapo nje ya pension yangu kila mwezi nalipwa kuponi ya kuniwezesha kuandaa safari moja baada ya nyingine....!

Kikubwa ni kutokuwa na wategezi hasa watoto aidha wa kuwazaa au wa ndugu.

Ikibidi ukibarikiwa ubaki unategemewa na wazazi tuu.

Ama laah, tenga fungu la kusaidia ndugu nje ya hela yako ya kujikimu kila mwezi.

Alamsiki.
 
Ni wachache sana wanaojiandaa kama wewe wengi huwaza kungonoka tu, hongera kwako, maana ukiwa na vijikazi viwili vitatu vya kufanya baada ya kustaafu hata stress zinakua hamna
 
Mungu akinijalia nina zaidi ya 20 hadi kustaafu. Lakini tayari nina ekari 20 za miti ambazo hadi mdaa huo zitakuwaje na umri kati ya miaka 22 hadi 24.
Mda si mrefu naanza utaratibu kutafuta maeneo ya uswahilini ninue viwanja na kujenga vijumba vya level ya uswahilini na kuvipangisha
 
Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana akili ya namna ya kujipanga,au kujiandaa kustaafu ili uzeeni asiteseke kwa dharau na fedheha za watukila mmoja atoe wazo lake

Mf;Mimi nimenunua shamba kimanzichana heka 10 nimezungushs michongoma ,ndani nimepanda miti ya miembe, michungwa, michenza, limao, mipapai, mipera, mastafeli, mafenesi, mipassion, nimeacha eneo la kupanda migomba kwa ajili ya ndizi. Nimeacha sehemu kwa ajili ya bwawa la samaki, nimetenga sehemu ya mabanda makubwa ya kufugia kuku, nguruwe, ngombe wa maziwa, bustani ya mboga mboga, haya ni maandalizi ya kustaafu nataka niwe navuna mazao yangu napeleka sokoni mwenyewe

Nnitanunua canter ya kutolea bidhaa shambani kwenda masokoni

Nataka wanangu na wajukuu miaka ya 2040 wakisema wanakuja shamba kumtembelea babu nao wajifunze

N;B nyie mnaweza kutoa mawazo yenu tusaidiane akili sio kila siku mapenzi tu
Kilimo kinalip mkuu ukipata mda tembelea estate ya Kikwete/Pinda
 
Unaweza ukajiandaa vizuri usifike umri wa kustaafu halafu unaweza usijipange ukafika na ukaisoma namba sisi tunasema allan warasuluu aalam.
 
Unaweza ukajiandaa vizuri usifike umri wa kustaafu halafu unaweza usijipange ukafika na ukaisoma namba sisi tunasema allan warasuluu aalam.

Ahllan WasahlAan

 
Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana akili ya namna ya kujipanga,au kujiandaa kustaafu ili uzeeni asiteseke kwa dharau na fedheha za watukila mmoja atoe wazo lake

Mf;Mimi nimenunua shamba kimanzichana heka 10 nimezungushs michongoma ,ndani nimepanda miti ya miembe, michungwa, michenza, limao, mipapai, mipera, mastafeli, mafenesi, mipassion, nimeacha eneo la kupanda migomba kwa ajili ya ndizi. Nimeacha sehemu kwa ajili ya bwawa la samaki, nimetenga sehemu ya mabanda makubwa ya kufugia kuku, nguruwe, ngombe wa maziwa, bustani ya mboga mboga, haya ni maandalizi ya kustaafu nataka niwe navuna mazao yangu napeleka sokoni mwenyewe

Nnitanunua canter ya kutolea bidhaa shambani kwenda masokoni

Nataka wanangu na wajukuu miaka ya 2040 wakisema wanakuja shamba kumtembelea babu nao wajifunze

N;B nyie mnaweza kutoa mawazo yenu tusaidiane akili sio kila siku mapenzi tu
Ambao hatujaajiriwa tuna comment wapi?
 
Nitahakikisha biashara ninazofanya nawarithisha watoto alafu mimi nitapumzika baada ya hapo lakini mshahara ukiwa bado upo palepale.
Waajiriwa wana kazi ya ziada.
 
Mungu akinijalia nina zaidi ya 20 hadi kustaafu. Lakini tayari nina ekari 20 za miti ambazo hadi mdaa huo zitakuwaje na umri kati ya miaka 22 hadi 24.
Mda si mrefu naanza utaratibu kutafuta maeneo ya uswahilini ninue viwanja na kujenga vijumba vya level ya uswahilini na kuvipangisha
Na zangu ni ngapi vile? 😂
 
Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana akili ya namna ya kujipanga,au kujiandaa kustaafu ili uzeeni asiteseke kwa dharau na fedheha za watukila mmoja atoe wazo lake

Mf;Mimi nimenunua shamba kimanzichana heka 10 nimezungushs michongoma ,ndani nimepanda miti ya miembe, michungwa, michenza, limao, mipapai, mipera, mastafeli, mafenesi, mipassion, nimeacha eneo la kupanda migomba kwa ajili ya ndizi. Nimeacha sehemu kwa ajili ya bwawa la samaki, nimetenga sehemu ya mabanda makubwa ya kufugia kuku, nguruwe, ngombe wa maziwa, bustani ya mboga mboga, haya ni maandalizi ya kustaafu nataka niwe navuna mazao yangu napeleka sokoni mwenyewe

Nnitanunua canter ya kutolea bidhaa shambani kwenda masokoni

Nataka wanangu na wajukuu miaka ya 2040 wakisema wanakuja shamba kumtembelea babu nao wajifunze

N;B nyie mnaweza kutoa mawazo yenu tusaidiane akili sio kila siku mapenzi tu
Uzi mzuri sana nimeupenda
 
Back
Top Bottom