njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Tuache utani hii serikali inachapa kazi jamani, raia wako very happy wanasema mama anaupiga mwingi hadi unamwagika, Mungu awape nini watanzania kupata Rais ambaye anachapa kazi masaa 24 kwa ajili yao halali kabisa.
Tuache kulalamika kuhusu TOZO , vitu vidogo sana ni lazima serikali itoze tozo ili kuleta maendeleo asiyetaka ahamie Burundi
Uzi huu ni maalumu kwa serikali yetu pendwa tuikumbushe pale inaposahau vyanzo vya mapato na tozo. mimi naanza na hivi siku ya leo
Tozo ya bando ni ndogo mno jamani, atleast mb 1000 ingekuwa ni tshs 3000 maana ukiangalia kwa afrika bado sisi tunachaji nafuu sana , hapo serikali inapoteza mapato sana.
Sabuni za kuogea, mafuta ya kula, chumvi,viberiti...hapo serikali iongeze tozo ya sh 50 kwa kila bidhaa itakayouzwa, ni chanzo stable sana cha mapato hapo.
Kila mmiliki wa laptop na computer za desktop alipie tshs 1000 kwa mwaka kwa kila mashine.
Tozo ya baiskeli irudi, tshs 1000 kila basikeli kwa mwaka.
Ongezea zako please, hii ni nchi yetu tuipende sana kwa kuunga mkono juhudi za Rais wetu mpendwa na waziri wake wa fedha katika kubuni TOZO mbalimbali kwa ajili ya mapato
Tuache kulalamika kuhusu TOZO , vitu vidogo sana ni lazima serikali itoze tozo ili kuleta maendeleo asiyetaka ahamie Burundi
Uzi huu ni maalumu kwa serikali yetu pendwa tuikumbushe pale inaposahau vyanzo vya mapato na tozo. mimi naanza na hivi siku ya leo
Tozo ya bando ni ndogo mno jamani, atleast mb 1000 ingekuwa ni tshs 3000 maana ukiangalia kwa afrika bado sisi tunachaji nafuu sana , hapo serikali inapoteza mapato sana.
Sabuni za kuogea, mafuta ya kula, chumvi,viberiti...hapo serikali iongeze tozo ya sh 50 kwa kila bidhaa itakayouzwa, ni chanzo stable sana cha mapato hapo.
Kila mmiliki wa laptop na computer za desktop alipie tshs 1000 kwa mwaka kwa kila mashine.
Tozo ya baiskeli irudi, tshs 1000 kila basikeli kwa mwaka.
Ongezea zako please, hii ni nchi yetu tuipende sana kwa kuunga mkono juhudi za Rais wetu mpendwa na waziri wake wa fedha katika kubuni TOZO mbalimbali kwa ajili ya mapato