Uzi maalumu wa kukera watu

6321

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
649
Reaction score
1,117
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Nimeandaa uzi huu maalumu kwa ajili ya kukera watu, njoo umkere yoyote yule bila kuogopa.

Karibuni tukerane hapa.

Matusi mwikooooo.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Sa mi nilikua nimekuja ili nitukane
 
Sasa si umesema huu ni Uzi wa kukera watu ama nimesoma vibaya?....
Niko hapa kwa ajili ya kukera watu na ndiyo kwanza nimeanza na ww mwenye uzi
Sasa kama umekerwa kimekuuma nini mpaka ujibu!!!! kwani mimi nilisema unikere ??? rudia tena kusoma kukera watu!!! siyo kila anae andika humu ni Watu uliza uambiwe usikurupuke!!! mimi nimeandika kukera watu wewe unanikera mimi eboooo!!!........ unamjua watu Ni nani?? au... ebu jieleze!! vinginevo Ban inakuhusu.

Somo la kiswahili ulipata ngapi!!!
 
Kuna dada alifaint huku...., nikamshika nyonyo moja, nikaskia akiniambia nishike yote na nanii
 
Ahahah blood unaniambia haya wewe Kama Nani?.....mwenye Uzi ama?....au ndo umeamua kutumia li parody lako kunijibu?....🤣
 
Ahahah blood unaniambia haya wewe Kama Nani?.....mwenye Uzi ama?....au ndo umeamua kutumia li parody lako kunijibu?....🤣
Division zero kuwajua ni rahisi sana!! sasa swali gani hili????

Kwani wewe uko hapa ajili ya nani?? Mimi au Mnyama fisi asome?
Kwani weye ukiwa hapa jukwani ni mwana face book au mwana Jf??
Ok! nimekujibu km mwana w/apps
sidhani km unajua kuwa hujui
 
Hicho chakula unachokula hapo mgahawani mpichi alipiga chafya na kwa bahati mbaya kamasi zitoo la njano njano likadondokea ndani ya sufuria. Ili kuua soo akaamua kulichanganya chap na chakula ili asistukiwe.
 
Bila matusi kero haijakamilika, sasa wewe mleta mada utakereka vipi bila kupewa matusi japo kidogo.

Choko wewe mleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…