fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,027
Long time no see U guys...
Husika na kichwa cha Uzi, inawezekana kuna mtu umempenda humu Jf lakini umeshindwa kumtoke kwa namna moja au nyingine, au labda kafunga PM yake.
Basi kwa kutumia uzi huu mueleze jinsi hisia zako zilivyo kwake, huenda ukawa mwanzo wa kuyajenga.
Husika na kichwa cha Uzi, inawezekana kuna mtu umempenda humu Jf lakini umeshindwa kumtoke kwa namna moja au nyingine, au labda kafunga PM yake.
Basi kwa kutumia uzi huu mueleze jinsi hisia zako zilivyo kwake, huenda ukawa mwanzo wa kuyajenga.
......back later......