Uzi maalumu wa kuorodhesha matukio tofauti 2017 ambayo hatutayasahau

Uzi maalumu wa kuorodhesha matukio tofauti 2017 ambayo hatutayasahau

ngebo

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
1,684
Reaction score
2,126
Wakuu habari za asubuhi hoping you all well, uzi huu tutashare baadhi ya matukio yaliyotutokea kwa mwaka 2017 ,mi binafsi yapo mengi mfano dem wangu nliekaa nae miaka mitano akanisaliti karibia na UE almanusura nifeli ila nashukuru mungu nimetoboa, etc.. Je wewe mdau ni tukio gani hutolisahau?
 
Hahah bila shaka ulikua una viemelea vya uchochezi na uvunjifu wa amani
 
Kukamatwa kwa Watanzania waliovaa Tshirt zenye ujumbe wa kumtakia afya njema Mtanzania mwenzao.
 
Mahaba mazito kati ya Mbowe na Wema sepetu.
 
Mkulu kupiga simu clouds fm kuwa anapenda kipindi cha Shilawadu,kumbe nia ilikuwa watu waangalie kipindi wakati fake news ya mzee wa kuliamsha ikirushwa,mkolomije alivyoona issue hairushwi akaingia na makirikiri.
 
Mkulu kupiga simu clouds fm kuwa anapenda kipindi cha Shilawadu,kumbe nia ilikuwa watu waangalie kipindi wakati fake news ya mzee wa kuliamsha ikirushwa,mkolomije alivyoona issue hairushwi akaingia na makirikiri.
Hahaha unafaa kua mpelelezi
 
Kuna wapambe nuksi wamedodesha uzi
 
mwaka uliokuwa na changamoto sana kwangu.
1. mwezi wa 6 kumpoteza mama mzazi na mpwa wangu kwa wakati mmoja kutokana na ajali ya bajaji na costa maeneo ya buza.
2. kumuuguza wife na mtoto ambao walikuwepo kwenye hiyo ajali.
3. biashara nilyokuwa nategemea kufa kutokana na wafanyakazi vimeo- september.
4. kujua Mungu yupo bado ananipenda hata kwa mazito haya.
aisee mwaka huuu....
 
mwaka uliokuwa na changamoto sana kwangu.
1. mwezi wa 6 kumpoteza mama mzazi na mpwa wangu kwa wakati mmoja kutokana na ajali ya bajaji na costa maeneo ya buza.
2. kumuuguza wife na mtoto ambao walikuwepo kwenye hiyo ajali.
3. biashara nilyokuwa nategemea kufa kutokana na wafanyakazi vimeo- september.
4. kujua Mungu yupo bado ananipenda hata kwa mazito haya.
aisee mwaka huuu....
Dah pole sana mkuu
 
mwaka uliokuwa na changamoto sana kwangu.
1. mwezi wa 6 kumpoteza mama mzazi na mpwa wangu kwa wakati mmoja kutokana na ajali ya bajaji na costa maeneo ya buza.
2. kumuuguza wife na mtoto ambao walikuwepo kwenye hiyo ajali.
3. biashara nilyokuwa nategemea kufa kutokana na wafanyakazi vimeo- september.
4. kujua Mungu yupo bado ananipenda hata kwa mazito haya.
aisee mwaka huuu....
Pole sana mkuu, Mungu aendelee kukupa ujasiri
 
Seduce me"By kingkiba".

Pole mkuu, wote tumeenda kinyume na matarajio yako. Haaaaaah!!!
 
Back
Top Bottom