umeona eeh! zilikuwa zinapigwa kampeni mbaya kabisa...
juzi kuna mtu alinijibu pm niliyomtumia kipindi cha kampeni [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu the thing was real na watu walipewa zawadi zao na wala sisi mapromota hatukuambulia hata senti 5...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha mbali aisee. Ndo kipindi pekee ambacho nilipataga PM.
Mkuu the thing was real na watu walipewa zawadi zao na wala sisi mapromota hatukuambulia hata senti 5...
Lakini tungekuwa na tamaa na ulafi wa fedha pengine leo hii tungelikuwa tunatumia IDs nyingine...
Hahaha
Mpwa hiki kijiwe naona kimechafuka...hakuna wa kumwamini tenaEnzi za leo tuko hapa...
Hakyamama assist haijawahi kumwacha mtu salama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu! Nitangulize tu furaha yangu kukusoma hapa.
Umepotelea wapi aisee...
Enzi zile [emoji1] [emoji1] [emoji1] sio siri nimekumbuka mazuri na upatano uliokuwako.
shansarie ni mzima wa afya, tunapambana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naombeni assist ya binti mmoja humu. Nimetengwa sana. [emoji3][emoji3]
ha ha ha ha...Mkuu the thing was real na watu walipewa zawadi zao na wala sisi mapromota hatukuambulia hata senti 5...
Lakini tungekuwa na tamaa na ulafi wa fedha pengine leo hii tungelikuwa tunatumia IDs nyingine...
Ngoja nije nikupe wew tenEmbu nipasie bhas
Assist ya kumoyo![emoji8] [emoji8] [emoji14] [emoji1]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Assistianeni tu mkiraimundoniana msilete malalamiko.
Looh hilo neno linanifurahisha san[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba uwe assist wangu