Umeonaee. Kila kona ni mwendo wa assist. [emoji23] [emoji23]Akii jf sio watu wazuri jamani ndo washajipatia msemo chaa[emoji23] [emoji23]
Like this?Mkuu, there is a bottle of WINE if you don't mind...
mimi nataka kuirudisha hiyo kitu, naomba muongozo wako jinsi ilivyokua hapo zamani plz.Sidhani kama itaweza kurudi tena kila zama na enzi zake...
Labda kama watokee tu watu wengine kuendesha hiyo kitu...
Consult na moderators, Invisible to be specific...mimi nataka kuirudisha hiyo kitu, naomba muongozo wako jinsi ilivyokua hapo zamani plz.
oooh, sawa hata hivyo sidhani kama nitaeleweka ukizingatia ni new member, acha nitulie tu, lolConsult na moderators, Invisible to be specific...
I'm no longer that dude who used to be active like hell's fire...maana ni kitu ya miaka sijui 5 iliyopita...good luck
Ndio mwenyewe mkuu.Ndiyo mzee wa assist nini?
Aiseeeh!! Nilikuwa busy kidogo, nilikutafuta ila haukupatikana.hupokei mbona?// au hutaki assist?