Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kama unahitaji dagaa wa mwanza waliokaangwa nakupatia kwa bei nafuj

Mikoani tunakufikishia kwa maelewano maalum.
 
Dah[emoji23]
pole sana,kaka hawa vinyozi wajinga sana najua ndio waliokufikisha hapa wanakuja kwa maneno matamu...mwisho hesabu hola ila kipindi cha corona watu wamepunguza sana kwenda salon....mie.mwenyewe wife ananinyoa upara tu home....!
 
Wanazingua simu kibao wanataka Balo za bei rahisi,
wakapambane na wachina aisee.
Niliona wengi wanaulizia huko ila labda tu wanaogopa....ila naimani hii biashara nzuri sana maana kuna rafiki angu anafanya hapa iringa ameendelea sana
 
~ Connection ya soko LA maziwa...wapi au nani anawezasaidia kupata soko LA maziwa...kwa mahitaji makubwa na ya kati...mahotelini,migahawani,maofisini,kwenye sherehe n.k,tunasambaza kuanzia Lita 10-100,200,nakuendelea

Bei zetu ni,
Maziwa fresh: Lita 1 sh 1800/=
Maziwa mtindi :Lita 1 sh 2000/=
Tupo dar es salaam.
Ahsante.
 
Mimi nahitaji supplier ninunue then mnisafirishie.....unanisaidiaje apo?!!
 
Mkuu kama una connection za magari ya mizigo yanayoend south Africa nambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…