Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

nauliza ni taasisi ipi au bank inayotoa mikopo ya kiwango kidgo kwa wafanya biashara bila ya kuwa na nyuma au kiwanja!?
 
Wanajamvi naomben connection ya kusambaza Mchele Kwa jumla kwenye
-maduka
-ma hotel
-migahawa
Mchele ni mzuri na radha nzur toka kyela mbeya

Napatikana Dsm-Kinyerezi
No;0757160773
Bei yako ikoje??
 
Property Investors (PIC) Inatangaza uuzaji wa viwanja vyake katika mradi wa #GEZAULOLE #kigamboni
Viwanja VIMEPIMWA [emoji736]
Bei zetu ni nafuu mnoo

Location: Kigamboni Gezaulole
Distance: 3 km to main road
Size: 400+ sqm ( 20 * 20)
Price: 20,000 sqm

Malipo mpaka kwa miezi 10
Bila riba wala dhamana
Kamilisha upate hati miliki yako[emoji736]

Kwa mawasiliano zaidi
0688753191

#viwanjagulio #buyplots #milikikiwanja
 
kampuni ya SACAMA interprises inayohusiana na usafirishaji,inatafuta magari kwa anzia tan 20 na kuendelea kwa shughuri za usafirishaji....rate Ni nzuri zenye manufaa....hivyo Kama unagari wasiliana na namba hii 0656052164 kwa maelezo zaidi.

Ahsante
 
Mfanyabiashara anayenunua samaki Dodoma yupo? Mzigo upo wa kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…