Hatawauzia bali atakua anatoa hudumaUmempa wazo zuri Sana, hata asipowauzia yeye akusanye tu 300/=
Vitunguu gani mkuu?Mwenye kuitaji biashara yavitunguu toka Singida kwenda Kona yoyote yaTanzania na nchi jilani anicheki tusaidiane me nipo Singida Sokoni
MajiVitunguu gani mkuu?
Swaum au maji?
Upo wapiMwenye connection au ideas kuhusu upatikanaji wa kahawa kwa bei poa .....hapa tanzania tafadhal
Bei yako ikoje??Wanajamvi naomben connection ya kusambaza Mchele Kwa jumla kwenye
-maduka
-ma hotel
-migahawa
Mchele ni mzuri na radha nzur toka kyela mbeya
Napatikana Dsm-Kinyerezi
No;0757160773
Bei ni 1300/Kg na 1400/KgBei yako ikoje??
Kibaha mkuu, lakini mzigo unakufikia popote pale ndani ya nchi iwapo uko mbali. Karibu sana. 0767086446Upo wapi mkuu
I have been. M.
Nenda EFTA wao wanakopesha mitambo,viwanda,magari ya biashara nk. Hawahitaji hati kwani mtambo,gari au mashine utakayonunua ndiyo hati yenyewe.nauliza ni taasisi ipi au bank inayotoa mikopo ya kiwango kidgo kwa wafanya biashara bila ya kuwa na nyuma au kiwanja!?
Ushapata mkuuWakuu mwenye koneksheni yeyote ya biashara kwa mtaji wa M1 pesa taslim ya kitanzania ..anisaidie niko teyari kwa mkoa wowote
Sent using Jamii Forums mobile app