Uzi maalumu wa kutakiana mabaya kwa wanaokukera

Uzi maalumu wa kutakiana mabaya kwa wanaokukera

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
5,915
Reaction score
7,210
Mtakie mabaya mtu yoyote anayekukera mpaka unakosa raha. Naamini kwa kufanya hivyo, roho yako utakua sawa.
Karibuni
 
Mkuu ume quote kauzi kangu kisa kusema ok?
Hakika lazima nikutakie mabaya
Uwe unapiga miayo muda wote
mkuu umequote reply yangu ili untakie mabaya walahi utakuwa unakojoa kila saa 😝😝😝
 
Back
Top Bottom