Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bambalaga mnaitajataja humu mara nyingi ,pale hamna kitu kabisa.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Ridhika na ulicho nacho... Halafu kumbe una familia..basi tulia.... Hivi kumbe wanaume mnaweka status kuwarusha watu roho!!Acha niongee kuhusu wanawake .Mnazingua sana tena sana na hamuwi wakweli .Kuna mmoja alikuja kama siku tatu humu jf kutaka mahusiano akisema ameumizwa sana .Niliingia inbobo kwake kwa lengo la kujifurahisha kozi familia ninayo japo ndio ile misuko suko haipoteagi.Kiufupi inbox tuliyajenga na kufikia kupeana namba za simu. TULIPOOMBA KUONANA ( KWA MAANA YA PIChA).Kila mmoja alimtumia mwenzie picha
Kifupi niliambiwa kua sina hadhi ya mwonekano anaoutaka. Na mpka nikaanza pewa ushauri mara oooh usinyoe vipara fuga nywele.Usivae rangi hii vaa vile .
All in all kashaniambia kua sijakidhi vigezo ila kila nikipost status ya kusema kua pengine naonesha nakula bata au naelekea kiwanja , Demu anaomba hela ya kutumia na yeye .Nikawa namwitia sawa lakini situmi .Sasa leo anapost status akiwa anafungua zawadi alizopewa na basha wake au mmewe au mpenzi kwani kaandika mwenyewe maneno ya kumshukuru.
WAKURUNGWA TUWE MAKINI HAWA MAPIMBI WANAWEZA KUTUFANYA VITEGA UCHUMI UKAJUA UNADEMU MNAELEKEA KUANZA MAISHA KUMBE ANAO HATA SITA ANAPATA HUDUMA STUKA MWANAUME STUKA
Elewa nimesema mfano nimepost lets say niko pengine niko sehem na wadau zikionekana ata chupa za maji watu wanakuja inbobo mbona unainjoi peke ako nipe ata ten basRidhika na ulicho nacho... Halafu kumbe una familia..basi tulia.... Hivi kumbe wanaume mnaweka status kuwarusha watu roho!!
Nimejibu nilicho elewa,siwezi elewa zaidi ya hapo.Elewa nimesema mfano nimepost lets say niko pengine niko sehem na wadau zikionekana ata chupa za maji watu wanakuja inbobo mbona unainjoi peke ako nipe ata ten bas
Pole sana mkuu usichoke kutafuta njiwa wako mnaye endanaAcha niongee kuhusu wanawake .Mnazingua sana tena sana na hamuwi wakweli .Kuna mmoja alikuja kama siku tatu humu jf kutaka mahusiano akisema ameumizwa sana .Niliingia inbobo kwake kwa lengo la kujifurahisha kozi familia ninayo japo ndio ile misuko suko haipoteagi.Kiufupi inbox tuliyajenga na kufikia kupeana namba za simu. TULIPOOMBA KUONANA ( KWA MAANA YA PIChA).Kila mmoja alimtumia mwenzie picha
Kifupi niliambiwa kua sina hadhi ya mwonekano anaoutaka. Na mpka nikaanza pewa ushauri mara oooh usinyoe vipara fuga nywele.Usivae rangi hii vaa vile .
All in all kashaniambia kua sijakidhi vigezo ila kila nikipost status ya kusema kua pengine naonesha nakula bata au naelekea kiwanja , Demu anaomba hela ya kutumia na yeye .Nikawa namwitia sawa lakini situmi .Sasa leo anapost status akiwa anafungua zawadi alizopewa na basha wake au mmewe au mpenzi kwani kaandika mwenyewe maneno ya kumshukuru.
WAKURUNGWA TUWE MAKINI HAWA MAPIMBI WANAWEZA KUTUFANYA VITEGA UCHUMI UKAJUA UNADEMU MNAELEKEA KUANZA MAISHA KUMBE ANAO HATA SITA ANAPATA HUDUMA STUKA MWANAUME STUKA
Pole sana mkuu usichoke kutafuta njiwa wako mnayeAcha niongee kuhusu wanawake .Mnazingua sana tena sana na hamuwi wakweli .Kuna mmoja alikuja kama siku tatu humu jf kutaka mahusiano akisema ameumizwa sana .Niliingia inbobo kwake kwa lengo la kujifurahisha kozi familia ninayo japo ndio ile misuko suko haipoteagi.Kiufupi inbox tuliyajenga na kufikia kupeana namba za simu. TULIPOOMBA KUONANA ( KWA MAANA YA PIChA).Kila mmoja alimtumia mwenzie picha
Kifupi niliambiwa kua sina hadhi ya mwonekano anaoutaka. Na mpka nikaanza pewa ushauri mara oooh usinyoe vipara fuga nywele.Usivae rangi hii vaa vile .
All in all kashaniambia kua sijakidhi vigezo ila kila nikipost status ya kusema kua pengine naonesha nakula bata au naelekea kiwanja , Demu anaomba hela ya kutumia na yeye .Nikawa namwitia sawa lakini situmi .Sasa leo anapost status akiwa anafungua zawadi alizopewa na basha wake au mmewe au mpenzi kwani kaandika mwenyewe maneno ya kumshukuru.
WAKURUNGWA TUWE MAKINI HAWA MAPIMBI WANAWEZA KUTUFANYA VITEGA UCHUMI UKAJUA UNADEMU MNAELEKEA KUANZA MAISHA KUMBE ANAO HATA SITA ANAPATA HUDUMA STUKA MWANAUME STUKA
Vayulensiii 😂Ridhika na ulicho nacho... Halafu kumbe una familia..basi tulia.... Hivi kumbe wanaume mnaweka status kuwarusha watu roho!!
Hiyo sahani kama ilioshwa kwa ulimi vile 😂Jana sikualikwa watu ni wachoyo sanaView attachment 2458529