Uzi maalumu wa mashindano ya klabu bingwa Africa msimu wa 2024/2025

Uzi maalumu wa mashindano ya klabu bingwa Africa msimu wa 2024/2025

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Timu zitakoshiriki klabu bingwa msimu mpya tayari zimeshathibitishwa, ambapo kutakuwa na jumla ya timu 59.

Katika timu hizo 59, ni timu 5 pekee ndio zitakazoanzia hatua ya pili ambapo ni Al Ahly, Es Tunis, Mamelod, Petro Luanda na Tp Mazembe.

Timu zingine zote zitaanzia preliminary stage. Hapa chini ni pot tano zitakazotumika kutengeneza mechi za hatua ya awali na hatua ya pili.
20240710_220525.jpg



Update upande wa kombe la maluza ( CAF Confederation cup)

Mashindano yatakuwa na jumla ya timu 52 ambapo kati ya hizo timu 52, ni timu 12 ndizo zitakazoanzia raundi ya pili. Timu zitakazoanzia raundi ya pili ni Simba, Berkane, As Vita, Zamalek, Lupopo, USMA, Al Masry, Asec, Enyimba, CS Sfaxien, Stade Malien, na Sekhukhune utd

Droo ya mechi za hatua ya awali na hatua ya pili ni Simba dhidi ya Uhamiaji au Libya 1
 

Attachments

  • 20240711_074627.jpg
    20240711_074627.jpg
    147.1 KB · Views: 9
  • 20240711_145639.jpg
    20240711_145639.jpg
    190.7 KB · Views: 11
Uzi unatia uchungu sana kwa wazee wa luza kapu
 
Leo ni siku ya kufanyika draw za mechi za hatua ya preliminary ambazo zitatoa muongozo hadi mechi za hatua ya pili kwanzia saa nane mchana kwa saa zaa Africa Mashariki
 
Iliyosemekana ni looser cup utashangaa itapambwa mno msimu huu.
 
Simba kukipiga dhidi ya mshindi kati ya Uhamiaji ya Zanzibar na Libya 1
 
Yanga kukipiga dhidi ya Vital 'O' ya burundi. Mshindi atacheza dhidi ya Villa Jogoo ya Uganda au Commercial Bank
 
Back
Top Bottom