Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Nakumbuka tuliwahi kuagiza beki 3 mkoani morogoro vijijini tukaambiwa huyo binti ana miaka 18 kamaliza form four binti kufika anaonekana ana miaka 13 na hata kukaa na watoto hawezi.
Kuna mmoja huyo alikuwa akikosea hataki kuambiwa anajifanya anapandisha mashetani na kunyamaza siku nzima kalala tu kitandani haongei chochote hasira zikimwisha anaamka anakula ugali [emoji1]
Kuna mwingine yeye anaacha watoto anaenda kwa mabwana zake anajua tunarudi jioni yeye saa10 kasharudi tumekaa naye mwaka bila kujua.
Mwingine ushirikina yani ana chale mwili mzima hadi mtoto wa miezi minne anamwogopa .
Hebu na wewe tupia changamoto ulizokutana nazo kwa house girls wale wazee wa ushauri mbadala ya house girls uzi huu hauwahusu .
Kuna mmoja huyo alikuwa akikosea hataki kuambiwa anajifanya anapandisha mashetani na kunyamaza siku nzima kalala tu kitandani haongei chochote hasira zikimwisha anaamka anakula ugali [emoji1]
Kuna mwingine yeye anaacha watoto anaenda kwa mabwana zake anajua tunarudi jioni yeye saa10 kasharudi tumekaa naye mwaka bila kujua.
Mwingine ushirikina yani ana chale mwili mzima hadi mtoto wa miezi minne anamwogopa .
Hebu na wewe tupia changamoto ulizokutana nazo kwa house girls wale wazee wa ushauri mbadala ya house girls uzi huu hauwahusu .