Uzi maalumu wa wazee wa machimboni, pori kwa pori ,visa na mikasa, hapa wapambanaji wataeleza mazonge waliyopitia sehemu mbalimbali,

Uzi maalumu wa wazee wa machimboni, pori kwa pori ,visa na mikasa, hapa wapambanaji wataeleza mazonge waliyopitia sehemu mbalimbali,

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana,
Upambanaji upo na watu wanapambana kufa na kupona ili waondokane na umaskini,
Kwenye upambanaji kuna mambo mengi Sana masaibu mbalimbali watu hukutana nayo, kwa hapo tupate story za machimboni iwe ulitoboa, ulifeli, ulitapeliwa lakini zote ni hustle ,
Mtu aliyetafuta pesa machimboni hata kama hakua mchimbaji muheshimu Sana tena Sana , watu wa aina yetu hua na mambo mengi tunayafahamu kuliko kawaida,
Iwe ulikua Kota, mpambe, mchimbaji na iwe ulikua chunya huko uliwasikia akina msigwa, mabula , iwe ulikua kanda ya ziwa akina Baraka muha ulipata kuwasikia ,
Iwe ulikua unaozesha lazima utafahamu kishimba ndio mwanzilishi wa huo mchongo toka alipoenda Afrika kusini ndio akaleta mpango wa marudio,
Hustle za machimboni na changamoto zake nyingi na visa vingi Sana,
Ikiwa ulipitia visa kahama nyangarata, ushirombo, nyamirembe, nyarugusu, Dar pori mbinga, chunya ya saza , chunya ya makongorosi, namba nane nzega, ruangwa , nachongwea , wale waliovuka border hadi msumbiji mweda , nanyupu, mkula , montepweshi, uwe ulienda chimbo za DRC Congo goma , beni mavivi , kisangani, au kama ulivuka kwenda Afrika ya kati njoo ueleze mikasa na visa ili wapambanaji wengine wajifunze , kongole nazipeleka kwa hustlers wote , mean real hustlers naamini popote mlipo mnapambana na siku moja malengo tutayafikia sio kukata tamaa,
 
Sijawasahau wazee wa jiwe la tunduru na Wana apolo wa mererani wote hao nawahitaji hapa
 
Ila w
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana,
Upambanaji upo na watu wanapambana kufa na kupona ili waondokane na umaskini,
Kwenye upambanaji kuna mambo mengi Sana masaibu mbalimbali watu hukutana nayo, kwa hapo tupate story za machimboni iwe ulitoboa, ulifeli, ulitapeliwa lakini zote ni hustle ,
Mtu aliyetafuta pesa machimboni hata kama hakua mchimbaji muheshimu Sana tena Sana , watu wa aina yetu hua na mambo mengi tunayafahamu kuliko kawaida,
Iwe ulikua Kota, mpambe, mchimbaji na iwe ulikua chunya huko uliwasikia akina msigwa, mabula , iwe ulikua kanda ya ziwa akina Baraka muha ulipata kuwasikia ,
Iwe ulikua unaozesha lazima utafahamu kishimba ndio mwanzilishi wa huo mchongo toka alipoenda Afrika kusini ndio akaleta mpango wa marudio,
Hustle za machimboni na changamoto zake nyingi na visa vingi Sana,
Ikiwa ulipitia visa kahama nyangarata, ushirombo, nyamirembe, nyarugusu, Dar pori mbinga, chunya ya saza , chunya ya makongorosi, namba nane nzega, ruangwa , nachongwea , wale waliovuka border hadi msumbiji mweda , nanyupu, mkula , montepweshi, uwe ulienda chimbo za DRC Congo goma , beni mavivi , kisangani, au kama ulivuka kwenda Afrika ya kati njoo ueleze mikasa na visa ili wapambanaji wengine wajifunze , kongole nazipeleka kwa hustlers wote , mean real hustlers naamini popote mlipo mnapambana na siku moja malengo tutayafikia sio kukata tamaa,
Ewe naona ujatoa yako hapo tukajua
 
Hapa natoka shamba nimelizwa na vijana wa kuhudumia, yaan haya maisha acha tu..
 
Hapa natoka shamba nimelizwa na vijana wa kuhudumia, yaan haya maisha acha tu..
Pole mkuu hizo ndio hustle hasara na faida ni wakati wowote , usikate tamaa jipange upya
 
Hustler never loose hope , tuendelee kupambana wanangu hata kama ulifilisika amini iko siku mawimbi yatatulia
 
Nilienda msumbiji na ndyo chimbo langu la kwanza nikitokea mbeya.kuna vijana walikuwa wananisaidia shambani kwangu kwenye vitunguu ,waliondoka gafla haijapita hata miez3 mmoja amerudi akiwa na mgao wa km milion mia.hatukuamini kufika kwake kumwona tayari anamalizia kujenga nyumba ya maana shamba eka kumi ya umwagiliaji mpunga na ngombe amenunua.huku rafikiake amenda kuuza madini dar. I likuwa km suprise ya ajabu kwetu.Nikashawishika nikauza vitunguu angu sijasubiri ikomae vizuri shamban.safari ya kwenda msumbiji ikaanza.nilichokuta msumbiji cyo nilichotegemea,nilikaa msumbiji miaka 3 nikichimba dhahabu.nilikutana na changamoto mbalimbali kwenye machimbo ikiwemo ughali wa maisha usumbufu wa maaskari milio fake na madini kukata sehemu ulipo bila kusahau kudhamini migodi nakufia hela yako.mambo yapo mengi sana kwnye machmbo kwa uchache ndyo hayo tu
 
Mkuu ahsantee sana hapa ndo kwetu wapambanaji. Nakuja nakisa Cha nyangarata ngoja nitulie
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana,
Upambanaji upo na watu wanapambana kufa na kupona ili waondokane na umaskini,
Kwenye upambanaji kuna mambo mengi Sana masaibu mbalimbali watu hukutana nayo, kwa hapo tupate story za machimboni iwe ulitoboa, ulifeli, ulitapeliwa lakini zote ni hustle ,
Mtu aliyetafuta pesa machimboni hata kama hakua mchimbaji muheshimu Sana tena Sana , watu wa aina yetu hua na mambo mengi tunayafahamu kuliko kawaida,
Iwe ulikua Kota, mpambe, mchimbaji na iwe ulikua chunya huko uliwasikia akina msigwa, mabula , iwe ulikua kanda ya ziwa akina Baraka muha ulipata kuwasikia ,
Iwe ulikua unaozesha lazima utafahamu kishimba ndio mwanzilishi wa huo mchongo toka alipoenda Afrika kusini ndio akaleta mpango wa marudio,
Hustle za machimboni na changamoto zake nyingi na visa vingi Sana,
Ikiwa ulipitia visa kahama nyangarata, ushirombo, nyamirembe, nyarugusu, Dar pori mbinga, chunya ya saza , chunya ya makongorosi, namba nane nzega, ruangwa , nachongwea , wale waliovuka border hadi msumbiji mweda , nanyupu, mkula , montepweshi, uwe ulienda chimbo za DRC Congo goma , beni mavivi , kisangani, au kama ulivuka kwenda Afrika ya kati njoo ueleze mikasa na visa ili wapambanaji wengine wajifunze , kongole nazipeleka kwa hustlers wote , mean real hustlers naamini popote mlipo mnapambana na siku moja malengo tutayafikia sio kukata tamaa,
 
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana,
Upambanaji upo na watu wanapambana kufa na kupona ili waondokane na umaskini,
Kwenye upambanaji kuna mambo mengi Sana masaibu mbalimbali watu hukutana nayo, kwa hapo tupate story za machimboni iwe ulitoboa, ulifeli, ulitapeliwa lakini zote ni hustle ,
Mtu aliyetafuta pesa machimboni hata kama hakua mchimbaji muheshimu Sana tena Sana , watu wa aina yetu hua na mambo mengi tunayafahamu kuliko kawaida,
Iwe ulikua Kota, mpambe, mchimbaji na iwe ulikua chunya huko uliwasikia akina msigwa, mabula , iwe ulikua kanda ya ziwa akina Baraka muha ulipata kuwasikia ,
Iwe ulikua unaozesha lazima utafahamu kishimba ndio mwanzilishi wa huo mchongo toka alipoenda Afrika kusini ndio akaleta mpango wa marudio,
Hustle za machimboni na changamoto zake nyingi na visa vingi Sana,
Ikiwa ulipitia visa kahama nyangarata, ushirombo, nyamirembe, nyarugusu, Dar pori mbinga, chunya ya saza , chunya ya makongorosi, namba nane nzega, ruangwa , nachongwea , wale waliovuka border hadi msumbiji mweda , nanyupu, mkula , montepweshi, uwe ulienda chimbo za DRC Congo goma , beni mavivi , kisangani, au kama ulivuka kwenda Afrika ya kati njoo ueleze mikasa na visa ili wapambanaji wengine wajifunze , kongole nazipeleka kwa hustlers wote , mean real hustlers naamini popote mlipo mnapambana na siku moja malengo tutayafikia sio kukata tamaa,
Kuna Uzi wa PharaohMtakatifu unasema Machimboni:-jinsi nilivyo nusurikakufa. Tutafute uunge hapa mkuu
 
Back
Top Bottom