Haijawahi kutarajiwa Shetani kumsifia na kumpa utukufu Mwenyezi Mungu. Likewise kwa Uto kuwasifia Simba.Ubunifu zero
Sandaland ni kama Haaland tu. Mtakoma mwaka huu!Wamtafute designer tu bora hata Vunja bei.
Isije ikawa Simba wameanza biashara ya mabegi kimya kimya, kibegi kimekuwa maarufu kuliko jezi yenyewe.Pamoja na hayo.
Nasubiria tuone connection ya kibegi na uzinduzi wa jezi.
By the way, kibegi kizuri kuliko hata jezi
Zipo vizuri sana tu
Wale wa kule mlimani waambiwe washuke huko haraka, wanapoteza muda na kupigwa baridi bila sababu.
Zile za wamama zimedaliziwa pembeni Bora kijani na njanoHamna maajabu,
Uzi wa yanga ule wa dark-blue ni mkali kinoma
Ndio VB kapegwachineSiku hizi Sandaland sio VB tena?
Ila nzuriKawaida sana, hazishtui utasema ni za miaka ya nyuma...
Vipi huo mlebo wa M-Bet hapo mbele?Yaani hapo ndo ubunifu ulifika mwisho..
Jezi za hovyo kinoma.