Nina moja ya VB nyekundu, sahivi nitanunua white hafu nitafananisha quality.Ndio VB kapegwachine
✍️
Zinafanana na AzamKawaida sana, hazishtui utasema ni za miaka ya nyuma...
HapanaZinafanana na Azam
hizo za Blue
Kuna uzi mwingine nami nimesema hilo. Utasema ya Azam.Zinafanana na Azam
Sasa nani alikwambia mi ni mbabaZile za wamama zimedaliziwa pembeni Bora kijani na njano
✍️
Hapana zimepooza kama uji wa mgonjwa.Ila nzuri
✍️
Ya Azam nzuri kuzidi ya simba mbwembwe zote kumbe malonya tu,, mi ni mwanasimba ila kwenye hili wamebugiKuna uzi mwingine nami nimesema hilo. Utasema ya Azam.
Mbwembwe zote wameleta kitu, kama kilikuwepo miaka ya nyuma. Hata ile ya Yanga waliodarizi waliharibu. Ukweli lazima tuseme kwa hizi timu zetu.Ya Azam nzuri kuzidi ya simba mbwembwe zote kumbe malonya tu,, mi ni mwanasimba ila kwenye hili wamebugi
Ukilinganisha na simba yanga mwaka huu wana uzi mzuri,, wa simba labda msimu uliopita ila huu,, umekaa km mifuko ile iliyopigwa marufuku, myeusi ile,, yani lijezi km la miaka 6 au 7 iliyopitaMbwembwe zote wameleta kitu, kama kilikuwepo miaka ya nyuma. Hata ile ya Yanga waliodarizi waliharibu. Ukweli lazima tuseme kwa hizi timu zetu.
Ndani ya nafsi ukweli unao, at least Azam jezi ya gold ndio wamekuja na jipya.Uto sijawasikia. Zidisha kununaaaaaa
Mimi hunivalishi ile ya wamama km nyinyiHata ile ya Yanga waliodarizi waliharibu.
Ile jezi tamu sanaat least Azam jezi ya gold ndio wamekuja na jipya.
Jezi ya blue aliyovaa malone,ukizoom shingoni ,wamekosea darizi
Zoom hiyo ya blue aliyovaa huyo rasta ,darizi yake uone,sehemu ya shingo ,😂😂Mbwembwe zote wameleta kitu, kama kilikuwepo miaka ya nyuma. Hata ile ya Yanga waliodarizi waliharibu. Ukweli lazima tuseme kwa hizi timu zetu.
Ndani ya nafsi ukweli unao, at least Azam jezi ya gold ndio wamekuja na jipya.
Jifunzeni kukosowa hata kama unaipenda vipi timu.
Sasa jezi hizi na za Vunjabei tofauti yake ni IPI?
Nunuweni hizo jezi kuisapoti timu yenu lakini hakuna jipya hapo.
Ndio maana Ahmed Ally hakusumbuka kupanda mpaka kwenye kilele cha mlima amebaki lodge ale Bata za Kilimanjaro national park.
Hapa hamna jipya, na huo ndio ukweli mchungu.
Yani kelele zote za kibegi ndio kwa jezi hizi?
Nasubiria nione muunganiko wa Uhuru peakNdani ya nafsi ukweli unao, at least Azam jezi ya gold ndio wamekuja na jipya.
Jifunzeni kukosowa hata kama unaipenda vipi timu.
Sasa jezi hizi na za Vunjabei tofauti yake ni IPI?
Nunuweni hizo jezi kuisapoti timu yenu lakini hakuna jipya hapo.
Ndio maana Ahmed Ally hakusumbuka kupanda mpaka kwenye kilele cha mlima amebaki lodge ale Bata za Kilimanjaro national park.
Hapa hamna jipya, na huo ndio ukweli mchungu.
Yani kelele zote za kibegi ndio kwa jezi hizi?