Uzi special kwa ajili ya Kuijadili Taifa Stars AFCON

Uzi special kwa ajili ya Kuijadili Taifa Stars AFCON

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
"Leo inaanza match ya kwanza kwa kupokea kichapo kutoka Morocco."

Haya si maneno yangu ni maneno ya mdau mmoja ambaye alikuwa anaongea kwa kutabasamu kabisa akijinasibu kuwa yeye anashabikia Morocco.

"Litimu letu halina mori kabisa. Wacha lifungwe tu maana halijitambui. Lingeangalia wenzao wanavyojituma"

Mdau mwingine naye alitoa maoni yake.

"Hili siyo litimu la Taifa ni litimu la CCM. So wacha CCM ifungwe"

Tuendelee kujadiliana kuhusiana na team yetu ya Taifa.
 
Hii thread inaonekana sio ya kujadiri Taifa stars, ni kwa ajili ya wenye chuki na wivu kutoa povu.
 
"Leo inaanza match ya kwanza kwa kupokea kichapo kutoka Morocco."

Haya si maneno yangu ni maneno ya mdau mmoja ambaye alikuwa anaongea kwa kutabasamu kabisa akijinasibu kuwa yeye anashabikia Morocco.

"Litimu letu halina mori kabisa. Wacha lifungwe tu maana halijitambui. Lingeangalia wenzao wanavyojituma"

Mdau mwingine naye alitoa maoni yake.

"Hili siyo litimu la Taifa ni litimu la CCM. So wacha CCM ifungwe"

Tuendelee kujadiliana kuhusiana na team yetu ya Taifa.
Tutawasimanga sana
 
"Leo inaanza match ya kwanza kwa kupokea kichapo kutoka Morocco."

Haya si maneno yangu ni maneno ya mdau mmoja ambaye alikuwa anaongea kwa kutabasamu kabisa akijinasibu kuwa yeye anashabikia Morocco.

"Litimu letu halina mori kabisa. Wacha lifungwe tu maana halijitambui. Lingeangalia wenzao wanavyojituma"

Mdau mwingine naye alitoa maoni yake.

"Hili siyo litimu la Taifa ni litimu la CCM. So wacha CCM ifungwe"

Tuendelee kujadiliana kuhusiana na team yetu ya Taifa.
CCM Stars vs Morocco. Tuone kama wanaweza ufisadi hadi kwenye mpira ili kushinda mechi.
 
🤣🤣🤣ila jaman tuwe na kiasi mimi mwenyew Morocco ila hawa wajukuu wa nyerere wanaweza kukaza
 
Jana tumefanikiwa kupokea kipigo cha kwanza toka Morocco.
 
Wachambuzi wale wa Dstv (Supersport)
Kuna maneno makali sana waliongea jana hasa kuhusu political issues kwa Taifa Stars.

😀😀 Samatta alihama namba muda flani, kuna mtangazaji anasema sijui huyu kaja kufanya nini huku Nyuma na alipaswa kuwa kule Mbele.
Jana nimesikitika sana sana..Ni aibu.
 
Back
Top Bottom